Zaidi kuna Dakar Rally.... Rally zingine hasa za Kenya na Tanzania zipo vilevile..
Dakar Rally 2008 - 2011
Dakar 2015, Stage 4: Standing Car 1 Al-Attiyah(QAT) Mini 12:30:44 2 De Villiers(ZAF) Toyota 12:38:59 3 Alrajhi(SAU) Toyota 12:54:17 4 Ten Brinke(NLD) Toyota 13:13:16 5 Holowczyc(POL) Mini 13:14:13 39 Gordon(USA) Gordini 18:18:19 50 Roma(ESP) Mini 21:48:12www.jamiiforums.com
Everyone can enter the Dakar; the only condition is to be at least 18-years of age. You do not need to be a rally-raid champion to take part. The goal of the Dakar is to have both professionals and amateurs participating in the same rallyand on the same route. Only Bikes and Quads are subject to a selection.(Dakar.com)Mkuu nikitaka kujiunga kwenye mashindano haya nifanye vp kufika huko?
Everyone can enter the Dakar; the only condition is to be at least 18-years of age. You do not need to be a rally-raid champion to take part. The goal of the Dakar is to have both professionals and amateurs participating in the same rallyand on the same route. Only Bikes and Quads are subject to a selection.(Dakar.com)
Wastani unatakiwa uwe na US$75,000 kushiriki mashindano haya....
Dah! Hiyo ina process ndefu sana...! Kwanza unatakiwa uwe na kipaji na unaanza kutafuta driving license tokea ukiwa mdogo! Kama upo chini ya miaka nane kwa sasa unaweza siku moja kuja kuendesha gari la F1.Mkuu Sio kuhusu Dakar nasemea Formula 1
Pitia hapa...Sisi wapenzi wa Moto GP tunajificha wapi?
Ahame Timu, japo Monaco barabara zao ukitereza kidogo hutaweza mpita aliyekuachaBottas naona kama huwa hana bahati na hasa kwenye hiyo team Mercedes
Bottas naona kama huwa hana bahati na hasa kwenye hiyo team Mercedes
Ni ngumu kwake kupata team nzuri kwa sasa zaidi ya kurudi kwenye team yake ya awali Williams...Ahame Timu, japo Monaco barabara zao ukitereza kidogo hutaweza mpita aliyekuacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna wakati alikua anamzingua HamAhame wapi ataenda atakuwa analipwa kama Mercedes milioni 15 kwa mwaka? Na ni top team zote washajiweka tayari na madereva wao namba 2.ferrari ana carlos sainz,Red Bull nao ndiyo wana Sergio perez mkataba wa mwaka mmoja ila sidhani wanaweza kumpa ofa botas.botas ni mmoja wa dereva namba mbili bora kwa sasa anaifanya vyema kazi yake ya kumlinda Lewis.kwa formula one ya sasa dereva namba mbili kazi yake ni kufanya ulinzi au aisaidie timu kupata point ila siyo kumsumbua dereva namba moja.