Formula 1® Grand Prix special thread

Go Hamilton Go! Kesho asilete utoto wake sasa, Raikenen na Hamilton ndio mwaka huu nawafagilia, ila Marcedes wanatisha nao hii ndio itakuwa Best F1 I Hope.
Kesho itakuwa raha jinsi Kimi atakavyokuwa anaovertake... Gari lao lipo fasta. Ferrari wanakatisha tamaa mwaka huu! Akina Vettel nao wameshaanza kulalamikia F-Duct ya Mercedes... Kazi ipo!
 
Kesho itakuwa raha jinsi Kimi atakavyokuwa anaovertake... Gari lao lipo fasta. Ferrari wanakatisha tamaa mwaka huu! Akina Vettel nao wameshaanza kulalamikia F-Duct ya Mercedes... Kazi ipo!

Mkuu Mapema mno kusema Ferarri wanakatisha tamaa au Mc Laren watafanya vizuri ila timu ambayo nafikiri itafanya vizuri Marcedes na Lotus tusubiri kama Race 3 au 4 au hiyo kesho.
 
Australian GP 2012: Results...

  1. Button
  2. Vettel
  3. Hamilton
  4. Webber
  5. Alonso
  6. Kobayashi
  7. Raikkonen
  8. Perez
  9. Ricciardo
  10. Di Resta
 
Malaysian GP 2012: Qualification:

Mercedes looking faster mchana huu... Live text coming soon!
 
Malaysian GP 2012: Starting Grid

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]1.[/TD]
[TD]L. Hamilton[/TD]
[TD]McLaren - Mercedes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.[/TD]
[TD]J. Button[/TD]
[TD]Mclaren - Mercedes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3.[/TD]
[TD]M. Schumacher[/TD]
[TD]Mercedes GP[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4.[/TD]
[TD]M. Webber[/TD]
[TD]Red Bull - Renault[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.[/TD]
[TD]S. Vettel[/TD]
[TD]Red Bull - Renault[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6.[/TD]
[TD]R. Grosjean[/TD]
[TD]Lotus - Renault[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7.[/TD]
[TD]N. Rosgber[/TD]
[TD]Mercedes GP[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8.[/TD]
[TD]F. Alonso[/TD]
[TD]Ferrari[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9.[/TD]
[TD]S. Perez[/TD]
[TD]Sauber[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10.[/TD]
[TD]K. Raikkonen[/TD]
[TD]Lotus - Renault[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Note:
Kimi anaanza nafasi ya kumi licha ya qualification ya nafasi ya tano baada ya kupata penalty kwa kubadili gear box
 
Haya Kesho tuone Hamilton nini atafanya naona kama Michael anaweza kufanya maajabu akaishia wa 3 mara nyingi safarihii au hata wa 2.
 
WELL,it seems F1 ya safari hii,will live up to its top billing-Vettel anaanza na hard tyres,hii yaweza kuwa master stroke,engineers wake wanahisi wakati magari mengine matairi yanalika yake yatakuwa fresh-if he pulls this then red bull will have done well.Hamilton yuko pole tatizo lake ni kutunza matairi-hence hapo kitaeleweka.Mercedes wana duct inayolalamikiwa ambayo inawapa advantage kwenye straight line.ALL in all huu msimu utakuwa safi
 
Malaysian GP 2012: Final Results

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]1.[/TD]
[TD]F. Alonso[/TD]
[TD]Ferrari[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.[/TD]
[TD]S. Perez[/TD]
[TD]Sauber[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3.[/TD]
[TD]L. Hamilton[/TD]
[TD]McLaren[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4.[/TD]
[TD]M. Webber[/TD]
[TD]Red Bull[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.[/TD]
[TD]K. Raikonnen[/TD]
[TD]Lotus[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6. [/TD]
[TD]B. Senna[/TD]
[TD]Williams[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7.[/TD]
[TD]Di Resta[/TD]
[TD]Force India[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8.[/TD]
[TD]J. Vergne[/TD]
[TD]Toro Rosso[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9.[/TD]
[TD]N. Hulkenberg[/TD]
[TD]Force India[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10.[/TD]
[TD]M. Schumacher[/TD]
[TD]Mercedes[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Fastest Lap: K. Raikkonen. 1:40 722 on Lap 53
 
F1 News: Sebastian Vettel is a cry baby, says Narain Karthikeyan

Narain Karthikeyan has described world champion Sebastian Vettel as a "cry baby" for criticising the Indian driver after the Malaysian Grand Prix.

Vettel called Karthikeyan an "idiot" after they collided as the Red Bull man was lapping Karthikeyan's HRT. The incident cost Vettel fourth place.
Speaking to the Hindustan Times, the 35-year-old Karthikeyan described Vettel as "unprofessional".

He added: "For a world champion to say things like that is really shameful."

Vettel ended up finishing 11th in Malaysia after dropping down the field with damage caused in the collision with Karthikeyan.

The result leaves the man, who has won the title for the last two years, sixth in the championship, 17 points adrift of the leader, Ferrari's Fernando Alonso.

In German, Vettel used the word "gurken" - cucumber - to describe Karthikeyan's driving - a common insult used about bad drivers on the road.

Karthikeyan said: "It is really unprofessional. For a driver who has achieved so much to take out his frustrations on me just because he is having a difficult year is really sad.

"One does not expect a professional sportsman to be such a cry baby."

BBC Sport
 
Chinese GP 2012: This Weekend...

Factfile:
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Venue:[/TD]
[TD]Shanghai International Circuit[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Circuit length:[/TD]
[TD]5.451km[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Laps:[/TD]
[TD]56[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Race distance:[/TD]
[TD]305.066km[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lap record:[/TD]
[TD]1min 32.238sec[/TD]
[TD]Micheal Schumacher[/TD]
[TD]2004[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2011 winner:[/TD]
[TD]Lewis Hamilton[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2011 fastest lap:[/TD]
[TD]Mark Webber[/TD]
[TD]1min 38.993sec[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Number of corner[/TD]
[TD]16[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Average lap speed[/TD]
[TD]191kph[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: BBC SPORTS.
 
Chinese GP 2012: Qualification.

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]1. Rosberg[/TD]
[TD]Mercedes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2. Hamilton[/TD]
[TD]Mclaren[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Schumacher[/TD]
[TD]Mercedes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4. Kobayashi[/TD]
[TD]Sauber[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Raikkonen[/TD]
[TD]Lotus[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6. Button[/TD]
[TD]Mclaren[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Webber[/TD]
[TD]Red Bull[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8. Perez[/TD]
[TD]Sauber[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Alonso[/TD]
[TD]Ferrari[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10. Grosjean[/TD]
[TD]Lotus[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Note:
Hamilton ataanza katika nafasi ya saba, baada ya kubadili gear box. Hii ni penati
 

Matokeo vipi mkuu??? usiache kutupa updates
 
Chinese GP 2012: Final Results
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]1. Rosberg[/TD]
[TD]Mercedes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2. Button[/TD]
[TD]Mclaren[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Hamilton[/TD]
[TD]Mclaren[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4. Webber[/TD]
[TD]Redbull[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Vettel[/TD]
[TD]Redbull[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6. Grosjean[/TD]
[TD]Lotus[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Senna[/TD]
[TD]Williams[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8. Maldonado[/TD]
[TD]Williams[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Alonso[/TD]
[TD]Ferrari[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10. Kobayashi[/TD]
[TD]Sauber[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 


Thanx mkuu, Schumacher na perez vipi walishindwa kumaliza au??
 
Thanx mkuu, Schumacher na perez vipi walishindwa kumaliza au??
Schumacher alikumbana na bahati mbaya pale alipokwenda pit kubadili matairi. Tairi moja la mbele halikufungwa vizuri hivyo kupelekea kustaafu mara tu aliporudi kwenye track!

Aidha Perez alikuwa na wakati mgumu kipindi chote cha leo na nikutokana na mpango wa timu yake kuwa na two pit stop.. Hata hivyo atakwenda kwenye rekodi ya uwanja huo kwa kuwa ndio aliyeweza kuwa na top speed kwa ujumla na baadhi ya sehemu katika track hiyo. Amemaliza mbio za leo akiwa katika nafasi ya 11.

Fastest Speeds:


  • Sector 1: Perez - 290kph
  • Speed Trap: Perez - 326kph
 
Bahrain GP 2012: Mazoezi.

F1 wikiendi hii itakuwepo huko Bahrain chini ya ulinzi mkali... Kumbuka mwaka jana mashindano haya yalishindwa kufanyika huko kutokana na ghasia za siasa nchini humo
 
Mzee wa Ferrari upo? Massa atolewe Hamilton apewe nafasi pale Ferrari. Ila safari hii F1 imekuwa ngumu mpaka kina Perez ni wakali ila Massa anashindana na Kobayashi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…