Formula 1® Grand Prix special thread

What goes around comes what? Watu weweeeeeee asije tu na Hamilton kumkuta Bundi wa kibunango kakosea gari yamefanana hehehe.
 
Harufu ya podium inanukia, Team Ferrari, Hawa Mercedes wamemfanyia njama Rosberg
 
What goes around comes what? Watu weweeeeeee asije tu na Hamilton kumkuta Bundi wa kibunango kakosea gari yamefanana hehehe.

Ila tumekosa uhondo, kwa kasi aliyokua anaenda nayo Hamilton race ingeisha vizuri sana kama mkoloni asingepata matatizo
 
Harufu ya podium inanukia, Team Ferrari, Hawa Mercedes wamemfanyia njama Rosberg

Mzee maneno hayo, maneno hayo! Fitna hata kwenye pit hapo si umeona zilimlenga Hamilton? Wacha mkoloni nae leo awe mtazamaji
 
Alonso na team yake wanalialia na michezo michafu ya Vettel, hamkajui hako kadogo nunda eeh? Kamuulizeni Webber
 
superiority ya mercedes inazidi kuonekana...last race hamilton alianza wa tisa[?] akamaliza wa pili,leo kaanza wa sita kamaliza wa kwanza...ili timu ingine yoyote ishinde inabidi mercedes zisiwepo kwenye race[ziharibike]
 
superiority ya mercedes inazidi kuonekana...last race hamilton alianza wa tisa[?] akamaliza wa pili,leo kaanza wa sita kamaliza wa kwanza...ili timu ingine yoyote ishinde inabidi mercedes zisiwepo kwenye race[ziharibike]
Williams, force India na mclaren wanatumia engines za mercedes
 
Wakati mkiendelea kumsifia Hamilton, napenda mkumbuke overtake ya Alonso kwa Vettel. Overtake hii ndio iliyokuwa bora kwa siku ya jana.

Hapa chini ni details zake...
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Speed[/TD]
[TD]293Km/h[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Gear[/TD]
[TD]7th[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Risk[/TD]
[TD]High[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Adrenaline [/TD]
[TD]Max[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Aidha, Alonso mwenyewe amekiri kuwa sio rahisi tena kurudia overtake hiyo.
 

angemu-overtake hamilton basi....alikuwa anasumbuana na mchovu mwenzie....
 
Hahahaaa, nyie watu na hizi lugha zenu! Sikujua mna maanisha nini kwani nimerukia ukurasa wa mwisho.

Ila kwa kuunga dots nikagundua mna maanisha Mgeruman. Ila ukweli ni kuwa amekulia Monaco na maisha yake mengi kaishi huko. Mkoloni haswa ni Sebastian Vettel 🙂

Nakubaliana na wewe kuwa jana Hamilton alikuwa anakwenda speed ya ajabu sana. Nakumbuka kabla Mkoloni hajaharibikiwa gari, alianza kusogelewa kwa speed ya 1 secondkwa mzunguko na mwanzo walikuwa na tofauti ya sekunde 5 ila hadi gari linakaribiwa kuharibika, tofauti ilishakuwa kama 2 seconds.

Alimpita mshikaji wake wa zamani kama vile jamaa siyo dereva.

Hata hivyo Vettel na Alonzo walifanya Show yao nzuri tu kugombea nafasi ya tano.
Ila tumekosa uhondo, kwa kasi aliyokua anaenda nayo Hamilton race ingeisha vizuri sana kama mkoloni asingepata matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…