Mclaren, redbull, na williams ni za uk
hii race ya leo kiboko!!!
Ricciardo akimpita Hamilton anaweza kushinda hii GP
Welldone Ricciardo! Sio mbaya tunaomba mungu Hamilton asiwe anaanza wa mwisho kutoka mwisho Kuwa wa 3 si kitu rahisi.
Hukukosea Mkuu.