Mkuu reports zako zimekaa vyema sanaToto says the brakes for NR and LH were gone one more lap Kimmi would have won ... .
Angalia body language.
Mkuu reports zako zimekaa vyema sana
Asante kwa updates
Mwaka huu mkoloni atakufa kwa wivu, ........uso kama ngozi ya goti
Nimerudi jamani nilikuwa nyumbani ni nyumbani bongo, busy hata Humu haupati muda ila sasa Tupo pamoja TeamHamilton and Raikenen naenda na Drivers. Safari hii Hamilton Hana wasiwasi Hamu yake kubwa ilikuwa mwaka uliopita.
Ulichoniuliza ndio nilichoona nafikiri wananchi nao wanapenda kuburuzwa ndomana wakikaa wanafikiria leo tuwalie pesa vipi nimewacha waendesha Ma bus wakasome, TENA na kila mtu alipe Laki 5 za tzsh watazitoa wapi? Matokeo yake ma bus yamegoma watu wamelala vituoni, utafikiri majumba ni kwao Hawana familia za kwenda kuwalisha.Karibu sana mkuu tunangoja week-end hii tuone mambo ya kule Spain .... .... .... .
NR in big trouble, pamoja na ile aggressive driving bado alikuwa ametimuliwa vumbi na kijana kutoka Stevenage LH .... ......
Habari za bongo natumai uli-enjoy na kuona umasikini wetu wakati viongozi wanafuja pesa za walipa kodi .. ... ..
Wakuu practice leo imeendaje?
Lewis usituangushe.