Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Hakuna haja ya kuunda tume kwa tatizo ambalo serikali inalifumbia macho na jibu la tatizo hilo wote wanalifahami.
Iko hivi;
Mfanya biashara + Eneo la biashara kubwa + Mipango Miji + Fundi Maiko = Maafa
Assumptions;
Mfanyabiashara- Mkinga, Mrombo
Eneo la Biashara- Kariakoo, Sinza, Ilala Mipango Miji- wapitishao vibali vya ujenzi juu kwa juu
Fundi Maiko-kibarua wa siku nyingi wa ujenzi mwenye hadhi ya uhandisi( alimjemgea Massawe na Sanga)
Maafa- matokeo ya uzembe wa serikali.
Hii formula itawasaidia sana ile kamati iliyoundwa kuchunguza kuporomoka kwa jengo.
Kamati wanalo jibu tayari , maafa , na mhusika mkuu akiwa ni serikali.
Iko hivi;
Mfanya biashara + Eneo la biashara kubwa + Mipango Miji + Fundi Maiko = Maafa
Assumptions;
Mfanyabiashara- Mkinga, Mrombo
Eneo la Biashara- Kariakoo, Sinza, Ilala Mipango Miji- wapitishao vibali vya ujenzi juu kwa juu
Fundi Maiko-kibarua wa siku nyingi wa ujenzi mwenye hadhi ya uhandisi( alimjemgea Massawe na Sanga)
Maafa- matokeo ya uzembe wa serikali.
Hii formula itawasaidia sana ile kamati iliyoundwa kuchunguza kuporomoka kwa jengo.
Kamati wanalo jibu tayari , maafa , na mhusika mkuu akiwa ni serikali.