theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Karibu sana mkuu...Nitakuchek mkuu
Ipo applicable mkuu...Natunguliza shukurani kwa elimu adhimu kabisa..!
Mkuu naomba kufahamu kama hiyo formula ya utengenezaji starter ya broiler, unaweza kuitumia kutengeneza starter kwa ajili ya kuku wakienyeji.
Ni maelezo gani unayohitaji hapo mkuu...Toa maelezo rahisi kwa mfugaji wa kawaida
Hiyo excel copy ya formula siyo rahisi kueleweka kwa mfugaji wa kawaida.Hiyo excel co
Huyu jamaa maelezo sio kwa ajiri ya wafugaji.Toa maelezo rahisi kwa mfugaji wa kawaida
Ukielewa unitag mkuuSijaelewa hii kitu mkuu
Mkuu kama umeelewa tusaidie na sisi tueleweukifuata hiyo formular kama ilivyo faida ya kuku hutoiona
Ndio ni excell mkuuHiyo excel co
Anyway hapo kitu cha muhimu ni kuangalia upande wa kg ataelewa hayo madude mengine hayana umuhimu kwake mkuu...Hiyo excel copy ya formula siyo rahisi kueleweka kwa mfugaji wa kawaida.
Rahisi mpe formula ya kutengeza km 100kg ya chakula cha kuku kinahitajika xxkg (mashudu, pumba, paraza, madini, vitamin, nk)
Hujaelewa sehemu gani mkuu nikupe ufafanuzi zaidiSijaelewa hii kitu mkuu
Hapana mkuu mbona inaeleweka kabisaa....Huyu jamaa maelezo sio kwa ajiri ya wafugaji.
Hii ni kwa ajiri ya tafiti za ngazi za upolofesa asee
Sio kweli mkuu...ukifuata hiyo formular kama ilivyo faida ya kuku hutoiona
Kwa mkulima hapo inabidi aangalie column ya kwanza kabisa yenye kg... hayo mambo mengine hayana umuhimu kwake...Huku kutudanganya mkuu
Hii ni kwa ajiri ya viwandani na sio kwa mimi mfugaji mkuu
Embu rahisisha maelezo ambae hata mimi naweza elewa
lakino hapo unataka watu wa namna gani ndio wakuelewe