Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

Fort Jesus Mombasa ni kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki Afrika

kelvinlewis

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2018
Posts
308
Reaction score
206
Nami pia nmezurura kdogo na kupata history ya hapa na pale katika Africa, asante Mungu kwa hicho kidogo ambacho ushanijalia; naamini kabsa wapo wengi ujawabariki kupata story na kuona kwa macho vitu va zamani zaidi.

Fort Jesus Mombasa ni zaidi ya kumbukumbu muhimu zaidi iliyobaki africa na zama za utumwa Africa.

Niliambiwa imejengwa mwaka 1593 na msanifu Geovanni Battista Cairasto kwa niaba ya Wareno na ilijengwa kwa kuchongwa na watumwa na ilichukuwa zaidi ya miaka mia na zaidi mpaka kujamilika kwake.

FB_IMG_1597007771651.jpg
FB_IMG_1597008900141.jpg
FB_IMG_1597008923502.jpg
FB_IMG_1597008740810.jpg
 
Mbona historia hii haujaitendea haki?
Unaandika kifupi namna hii kama upo Fb!

Ukitaka kuandika historia , chimbua hasa ueleweke vizuri, historia yako ni nzuri sana hii.
Fort jesus ina listory lirefu kila eneo ni historia kwene ilo jumba
 
Mbona historia hii haujaitendea haki?
Unaandika kifupi namna hii kama upo Fb!

Ukitaka kuandika historia , chimbua hasa ueleweke vizuri, historia yako ni nzuri sana hii.
Sawa kiongizi niliandika kiufupi tu coz mambo mengine ckuyakumbuka na baadhi ya pcha zilipotea ndo mana ikawa ivo sema sorry wakati mwingine nitajitahid kuelezea vizuri
 
Napoleone,

Sasa mkuu sawa mm sio mwarifu wa kusema nijifiche najifichia nn asa soma ukielewa basi usipoelewa pia piga chini sehemu za kihistoria zipo nyingi sana duniani ata iyo BAGAMOYO yako ni ya for tuu usipende kudharau vitu va watu.
 
Sasa mkuu sawa mm sio mwarifu wa kusema nijifiche najifichia nn asa soma ukielewa basi usipoelewa pia piga chini sehemu za kihistoria zipo nyingi sana duniani ata iyo BAGAMOYO yako ni ya for tuu usipende kudharau vitu va watu
Hujaijua JF, ipo siku utataman usingejianikaga, nakupa muda tu.
 
Asante Sana kwa picha wengine tumeishia kusoma kwa nadharia tu darasani na kwenye vitabu vya historia hatujawahi kufika maeneo hayo nimejifunza kitu kwa mtazamo chanya.Cha kuongezea ngome hiyo ya FourtJesus ilijengwa karne ya 15 na wareno baada ya kuondelewa kwa waarabu eneo la Mombasa nchini Kenya, Wareno walivutiwa na mji huo ukikuwa maarufu kwa biashara.

Mreno aliyeitwa Vasco da Gama ndiye aliyetia timu maeneo hayo baadaye waarabu walipata msaada wa majeshi kutoka kwa Alli Bey huyu alikuwa mmisri pamoja na wenyeji waliangusha utawala wa wareno katika Vita hiyo ngome yao hiyo ya wareno ilivunjwa mwaka 1698 na waarabu.Baada ya wareno kushindwa Vita hiyo walikimbimbilia Msumbiji ambako walitawala kwa miaka mingi.

Msumbiji ilikuja kupata Uhuru kwa njia ya Vita vya msituni kiongozi wake akiwa ni Samola Michael akiongoza chama Cha FRELIMO kuwaondoa wareno haikuwa kazi ndogo ilibidi Tanzania itoe msaada wa kijeshi kwenda kung'oa utawala wa kireno.hatimaye mwaka 1975 Msumbiji ikapata uhuru wake,Nimesimulia kwa uchache tu yapo mengi zaidi ya haya.
 
Asante Sana kwa picha wengine tumeishia kusoma kwa nadharia tu darasani na kwenye vitabu vya historia hatujawahi kufika maeneo hayo nimejifunza kitu kwa mtazamo chanya.Cha kuongezea ngome hiyo ya FourtJesus ilijengwa karne ya 15 na wareno baada ya kuondelewa kwa waarabu eneo la Mombasa nchini Kenya,wareno walivutiwa na mji huo ukikuwa maarufu kwa biashara.

Mreno aliyeitwa Vasco da Gama ndiye aliyetia timu maeneo hayo baadaye waarabu walipata msaada wa majeshi kutoka kwa Alli Bey huyu alikuwa mmisri pamoja na wenyeji waliangusha utawala wa wareno katika Vita hiyo ngome yao hiyo ya wareno ilivunjwa mwaka 1698 na waarabu.Baada ya wareno kushindwa Vita hiyo walikimbimbilia Msumbiji ambako walitawala kwa miaka mingi.

Msumbiji ilikuja kupata Uhuru kwa njia ya Vita vya msituni kiongozi wake akiwa ni Samola Michael akiongoza chama Cha FRELIMO kuwaondoa wareno haikuwa kazi ndogo ilibidi Tanzania itoe msaada wa kijeshi kwenda kung'oa utawala wa kireno.hatimaye mwaka 1975 Msumbiji ikapata uhuru wake, nimesimulia kwa uchache tu yapo mengi zaidi ya haya.

Asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri ya nyongeza ni Kweli kabisa na Mimi nilisimuliwa ivo ivo na watu waliokuwa wakininyesha jengo iloo kiukweli lina historia nzuri sana niliweza hadi kutoa machoz pale nilipoonyesha minyororo ya zamani ambayo walifungiwa watumwa ndani ya jengo hilo kama jela asee inatia sana huruma.
 
Asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri ya nyongeza ni Kweli kabisa na Mimi nilisimuliwa ivo ivo na watu waliokuwa wakininyesha jengo iloo kiukweli lina historia nzuri sana niliweza hadi kutoa machoz pale nilipoonyesha minyororo ya zamani ambayo walifungiwa watumwa ndani ya jengo hilo kama jela asee inatia sana huruma
Mkuu ni kweli ulitoa machozi?
 
Sawa kiongizi niliandika kiufupi tu coz mambo mengine ckuyakumbuka na baadhi ya pcha zilipotea ndo mana ikawa ivo sema sorry wakati mwingine nitajitahid kuelezea vizuri
Sorry ya nini sasa eroo
 
Asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri ya nyongeza ni Kweli kabisa na Mimi nilisimuliwa ivo ivo na watu waliokuwa wakininyesha jengo iloo kiukweli lina historia nzuri sana niliweza hadi kutoa machoz pale nilipoonyesha minyororo ya zamani ambayo walifungiwa watumwa ndani ya jengo hilo kama jela asee inatia sana huruma
Mkuu ulilia?
 
Back
Top Bottom