beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Four members of the same family died on Saturday after consuming a traditional brew, Muratina, at Mwaniambogo village in Gatanga, Murang’a County .
The four, three brothers and a nephew, were having a house opening celebration after three of them completed constructing a house for one of them.
According to the acting County Police Commander David Kandie, the four started complaining of severe stomach aches before being rushed to Thika Level Five Hospital where they died one after the other.
Police have taken the specimen of the liquor for examination as the wife to the owner of the house is being held by police to assist in investigations.
Gatanga Member of Parliament Eng.Ngugi Dwati has issued a stern warning to those selling illicit brew to the residents.
--------
Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia siku ya Jumamosi, Aprili 28, 2018 baada ya kunywa pombe ya kienyeji iitwayo Muratina, maeneo ya Mwaniambogo katika kijijo cha Gatanga
Watu hao wanne, kaka watatu na binamu walikuwa wanasheherekea ufunguzi wa nyumba ya mmoja wao ambayo imejengwa na wenzake watatu
Kaimu Kamanda wa Polisi wa Murang'a amesema watu hao walianza kulalamika kuhisi maumivu makali ya tumbo na kisha kukimbizwa katika hospitali ya Thika ambapo huko walianza kufariki mmoja baada ya mwingine
Uchunguzi juu ya vifo vyao unandelea kwa Polisi kuchukia kiasi kidogo cha pombe kwa ajili ya kuipima
The four, three brothers and a nephew, were having a house opening celebration after three of them completed constructing a house for one of them.
According to the acting County Police Commander David Kandie, the four started complaining of severe stomach aches before being rushed to Thika Level Five Hospital where they died one after the other.
Police have taken the specimen of the liquor for examination as the wife to the owner of the house is being held by police to assist in investigations.
Gatanga Member of Parliament Eng.Ngugi Dwati has issued a stern warning to those selling illicit brew to the residents.
--------
Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia siku ya Jumamosi, Aprili 28, 2018 baada ya kunywa pombe ya kienyeji iitwayo Muratina, maeneo ya Mwaniambogo katika kijijo cha Gatanga
Watu hao wanne, kaka watatu na binamu walikuwa wanasheherekea ufunguzi wa nyumba ya mmoja wao ambayo imejengwa na wenzake watatu
Kaimu Kamanda wa Polisi wa Murang'a amesema watu hao walianza kulalamika kuhisi maumivu makali ya tumbo na kisha kukimbizwa katika hospitali ya Thika ambapo huko walianza kufariki mmoja baada ya mwingine
Uchunguzi juu ya vifo vyao unandelea kwa Polisi kuchukia kiasi kidogo cha pombe kwa ajili ya kuipima