Mwanza sales
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 193
- 87
Ina kodi ya miaka 8,imetazama barabara unaweza kuuza vipodozi, vitenge, mashuka mapazia, nguo n.k, ipo lumumba Mwanza mjini 0717072172
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeshalipwa anaekuja ataishi miaka 8 bila kulipa kodiMkuu hy kodi ishalipwa au anayekuja ndo anailipa?
Imeshalipwa anaekuja ataishi miaka 8 bila kulipa kodi
Duh kazi kweli kweliHahahahaha usitumie hasira mkuu toa maelezo yanayoeweka au kuna mtu unataka kumtapeli?
Hujatoa utaratibu unaoeleweka mkuu,Imeshalipwa anaekuja ataishi miaka 8 bila kulipa kodi
Angalau nimekuelewa, kimsingi biashara nyingi za maeneo ya mjini huwa zinamikataba ya mda mrefu kati ya mmiliki na mfanyabiashara, hivyo mwenye eneo kwa sasa anataka 120M ili akupishe uishi kwa miaka nane ndio uje ulipe kodi, na hapa ni kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchiHujatoa utaratibu unaoeleweka mkuu,
hakuna kitu kama hichi - 'bila kulipa kodi', unapaswa utoe muongozo unaoeleweka bei ni ngapi..?
Frame imeshalipiwa kodi ya MIAKA 8, huyu unaemualika hapa atatakiwa akulipe shillingi ngapi ili aifanyie kazi.?Ina kodi ya miaka 8,imetazama barabara unaweza kuuza vipodozi, vitenge, mashuka mapazia, nguo n.k, ipo lumumba Mwanza mjini 0717072172
Hujatoa utaratibu unaoeleweka mkuu,
hakuna kitu kama hichi - 'bila kulipa kodi', unapaswa utoe muongozo unaoeleweka bei ni ngapi..?
1,250,000/- Tsh./ Mwezi.Angalau nimekuelewa, kimsingi biashara nyingi za maeneo ya mjini huwa zinamikataba ya mda mrefu kati ya mmiliki na mfanyabiashara, hivyo mwenye eneo kwa sasa anataka 120M ili akupishe uishi kwa miaka nane ndio uje ulipe kodi, na hapa ni kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi
Good, una akili sana1,250,000/- Tsh./ Mwezi.
this makes sense,Angalau nimekuelewa, kimsingi biashara nyingi za maeneo ya mjini huwa zinamikataba ya mda mrefu kati ya mmiliki na mfanyabiashara, hivyo mwenye eneo kwa sasa anataka 120M ili akupishe uishi kwa miaka nane ndio uje ulipe kodi, na hapa ni kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi
Good, una akili sana
Hapo mtaji lazima uwe mkubwa na maokoto yawe ya maana1,250,000/- Tsh./ Mwezi.
Hapo mtaji lazima uwe mkubwa na maokoto yawe ya maana
Na usiwe ni mtu ambaye ndio kwa mara ya kwanza unaenda kuitest hiyo biashara, utakufa kwa kisukari na shinikizo la damu. 😄Hapo mtaji lazima uwe mkubwa na maokoto yawe ya maana
Kabisa kaka, hapa unatakiwa uwe angalau na milioni 250 ndio utaelewa biashara, na uwe unaagiza bidhaa mwenyewe kutoka nje, China india turkey nk, hapo utaona faida sanaHapo mtaji lazima uwe mkubwa na maokoto yawe ya maana
Kwa hiyo kwa mwaka kodi ni Tsh 15,000,000/=! Na kwa mwezi ni Tsh 1,250,000/=Angalau nimekuelewa, kimsingi biashara nyingi za maeneo ya mjini huwa zinamikataba ya mda mrefu kati ya mmiliki na mfanyabiashara, hivyo mwenye eneo kwa sasa anataka 120M ili akupishe uishi kwa miaka nane ndio uje ulipe kodi, na hapa ni kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi