France-Albert René maarufu kama The Boss

France-Albert René maarufu kama The Boss

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
France-Albert René maarufu kama The Boss.
440px-France_Albert-René.png

Alikuwa Rais wa pili wa visiwa vya[nchi ya] Seychelles aliyehudumu katika uongozi wake toka mwaka 1977 mpaka 2004.

Aliitwaa nafasi hiyo kupitia mapinduzi yaliyofanyika 1977 yaliyofadhiliwa na nchi ya Tanzania.

Chini ya uongozi wake Seychelles iliweza kukua kiuchumi na kuwa moja ya nchi iliyoendelea zaidi katika bara la Afrika.

The Boss aling'atuka uongozini 2004 na kumuachia makamu wake James Alix Michel.

René alifariki tarehe 27 February 2019.
 
Nchi ina raia wasiozidi 100,000 kama Bongo inazidiwa hata na wakazi wa kata ya Buguruni.
 
Na walioenda kutuliza ghasia na kuhakikisha Seychelles Hali inakuwa shwari hadi huyu mwamba akapewa nchi walikuwa wanajeshi kutoka Tanzania chini ya Brigedia Hashim Mbita....(halafu Kuna gen Z wanaongea ongea hawajui historia ya JWTZ Kwamba ni miamba toka kitambo)na Brigedia Hashim Mbita alioongoza Seychelles kwa muda...
 
Na walioenda kutuliza ghasia na kuhakikisha Seychelles Hali inakuwa shwari hadi huyu mwamba akapewa nchi walikuwa wanajeshi kutoka Tanzania chini ya Brigedia Hashim Mbita....(halafu Kuna gen Z wanaongea ongea hawajui historia ya JWTZ Kwamba ni miamba toka kitambo)na Brigedia Hashim Mbita alioongoza Seychelles kwa muda...
JW ni jeshi lenye heshima sana Africa.
 
Na walioenda kutuliza ghasia na kuhakikisha Seychelles Hali inakuwa shwari hadi huyu mwamba akapewa nchi walikuwa wanajeshi kutoka Tanzania chini ya Brigedia Hashim Mbita....(halafu Kuna gen Z wanaongea ongea hawajui historia ya JWTZ Kwamba ni miamba toka kitambo)na Brigedia Hashim Mbita alioongoza Seychelles kwa muda...
Gen Z wanasema hivyo kwa sababu kizazi cha mabadiliko JWTZ sasa hakipo tofauti na awali mwalimu alipata kashi kashi nyingi wakati wa utawala wake
 
Na walioenda kutuliza ghasia na kuhakikisha Seychelles Hali inakuwa shwari hadi huyu mwamba akapewa nchi walikuwa wanajeshi kutoka Tanzania chini ya Brigedia Hashim Mbita....(halafu Kuna gen Z wanaongea ongea hawajui historia ya JWTZ Kwamba ni miamba toka kitambo)na Brigedia Hashim Mbita alioongoza Seychelles kwa muda...

hassan ngwilizi
abdulrahman shimbo
 
Na walioenda kutuliza ghasia na kuhakikisha Seychelles Hali inakuwa shwari hadi huyu mwamba akapewa nchi walikuwa wanajeshi kutoka Tanzania chini ya Brigedia Hashim Mbita....(halafu Kuna gen Z wanaongea ongea hawajui historia ya JWTZ Kwamba ni miamba toka kitambo)na Brigedia Hashim Mbita alioongoza Seychelles kwa muda...
Alikuwa Ngwilizi. Huyo Mbita alihusika ukombozi wa nchi za kusini. Kimsingi Tanzania ilishawahi kuitawala Uganda na Seychelles kwa muda.
 
Back
Top Bottom