Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kwa mnaofuatilia kombe la dunia hasa mechi za France, France ni timu kali sana
Cheki mechi dhidi ya Australia, Denmark kisha angalia mechi ya leo dhidi ya Tunisia
Hawa jamaa japo walikuwa wameshavuka na kuchezesha kikosi cha pili, lakini wamecheza wakiwa wamelegea mnoo, yaani kiwango chao kilikuwa 30% ya uwezo wao
hata goli lenyewe la Tunisia lilivyofungwa ilikuwa mfungaji kaachiwa tu na wale mabeki
Cheki mechi dhidi ya Australia, Denmark kisha angalia mechi ya leo dhidi ya Tunisia
Hawa jamaa japo walikuwa wameshavuka na kuchezesha kikosi cha pili, lakini wamecheza wakiwa wamelegea mnoo, yaani kiwango chao kilikuwa 30% ya uwezo wao
hata goli lenyewe la Tunisia lilivyofungwa ilikuwa mfungaji kaachiwa tu na wale mabeki