France - Timu nzima ya senegal imeingia mitini!!

Hahahahaa! Inaelekea wachezaj waligundua kuna ubabaishaji wa uongozi wa timu! Shame on them!
 
ha ha ha ha mambo ya kujiwasha haya aka kujilipua au kujichoma moto mzimamzima!
 
sio hao tu wachezaji wa azam nao waliingia mitini karibia wote sweden baada ya mechi,wakamuachia kocha arudi na paspoti:majani7:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…