Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
yaani ndio kama anaanza .Duh huyu jamaa bado anacheza?
una akili sana .Totti ni moja ya wachezaji ninaowaheshimu sana
kwa hela hizi hizi za Manji mwekezaji wa coco beach ?Yanga wanamtamani kwiiii kwi kwiii kwiiiii
Teh teh tehhkwa hela hizi hizi za Manji mwekezaji wa coco beach ?
muite "KATILI-GATTUSO"Wapi Gatuso
Siyo katili kama unavyoshawishi.muite "KATILI-GATTUSO"
yawezekana humjui vizuriSiyo katili kama unavyoshawishi.
Umesema kweli, humuona kwenye luninga, pengine wewe ni jirani yako, teh teh tehyawezekana humjui vizuri
Leo nakubaliana na wewe.Kwenye game ya jana wakiwa nyumbani kwao dhidi ya Torino aliingia uwanjani dk ya 86 , timu yake ya Roma ikiwa nyuma kwa 2 - 1.
akafunga goli la kusawazisha dk hiyohiyo ya 86 na akapachika la ushindi kwenye dk ya 89
ikumbukwe kwamba gemu iliyopita pia aliingia dk za majeruhi na kuokoa timu yake .
My Take - Mkubwa Dawa .