Francis Kahata aaga Simba SC

Yule mweupe wa utopolo alipokewa kwa mbwembwe lakini akaondoka bila kusindikizwa airport!! Nadhani utopolo walimwongezea kipaji bali simba wanaua kipaji
 
Bora AENDE Azam.
akienda yanga atakwenda kupotea. Timu ya wahuni ile
 
Hakupewa nafasi tu,kahata ni mchezaji mzuri
Karibu Jangwani...
Ni mchezaji mzuri kweli ndo maana Simba walimsajili
Ila ushindani wa namba ndio uliomfanya asipate hio nafasi mara kwa mara

Kwa hapa Tz naiona nafasi yake Azam maana hawana wingers wa kutosha
 
Nakubaliana na wewe .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…