Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TPSF kuna tatizo inaelekea.
Mkuu huyu jamaa aliwahi pia kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm , inasemekana hakuguswa hata na kifo cha Azory alipokuwa Mwananchi , mnadhani alikuwa nani huyu ?Aligombea uspika kupitia chama kongwe cha CCM, hiyo imeleta mtafaruku ktk jukwaa hili la wafanyabishara Tanzania
Mkuu huyu jamaa aliwahi pia kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm , inasemekana hakuguswa hata na kifo cha Azory alipokuwa Mwananchi , mnadhani alikuwa nani huyu ?