Franco Mtui apooza mwili mzima

Franco amefia Nairobi, ambako alipelekwa kwa matibabu zaidi. Atazikwa kwao Marangu Moshi, ijumaa tarehe 11. Mungu aiweke roho ya marehemu pahala pema peponi.
 
RIP Cuz Franco tulikupenda sana ila Muumba kakupenda zaidi daima tutakukumbuka ucheshi na ukarimu wako.
 
Oloronyo ingawa hii post uliipost zamani but ukweli ni kwamba unachuki binafsi na Franco kwani hujui chanzo cha ajali yake hadi akapooza mwili pia hujui ugomvi ulio sababisha akatengana na mkewake usipende kushadadia mambo usioyajua ili oonekane kuwa unajua. Kama Franco alikuzidi kete pole ila usilolijua ni kama usiku wa giza. Elewa ajali himpata mtu yeyote yule Franco hakupenda kupata ile ajali. Yaelekea ulipewa maneno ya udaku mtaani nawe ukayaleta mazima humu bila kuyafanyia kazi. Hujafa hujaumbika limetokea kwa Franco kesho linaweza mpata mwingine hata ww linaweza kukupata.
 
Mimi nilikuwa napata kutoka kwa Victor Mollel na Eric Mwenda...

Oooh na Francis pia...jamaa alikuwaga anakuja kutoka Nyamwezi....nakumbuka aliniletea Air Jordans

Nyani Ngabu we enzi za Aqua kumbe ulikuwepo? Mambo ya basket ball masaki mwisho je? Na akina Dick Tembo na Jesse Macha?
 

Kaka Bluray alishangaa kuona post ya habari za mgonjwa imeshehenezwa innuendos nyingine zisizo hishma kabisa.a

Wengine kaka yetu huyu Obay kitambo, tunamjua cheche zake enzi zile, kabla ya Aqua, Franco had style and pioneered stuff wakati huo kina Mr. II hawa hawajafika mjini. Huyu labda anaweza kurudi kwenye era za kina Saleh Jabri na Kim Mgomelo kama si nyuma zaidi.

Umkute hapo Franco kwenye mtambo, hapo Eddo kashika mic, mpakana wewe unapata mshawasha kushika mic.

Nakumbuka mashindano ya Rap Lang'ata 1990 aliwarusha watu sana, mpaka kina Kelvin G na Connie Francis wakakubali.

Kwa hiyo tukashangaa maneno yasiyo taadhima kwa mtu alwatan.

Ndiyo mambo ya mtandao hayo, anything goes.
 
Last edited by a moderator:
Nimecheka sana hii post yako.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…