Kiingilio nilikuwa kuanzia laki (Ticket za kawaida ) Na ukumbi ulijaa pomoni ... Endeleeni kuchonga
Licha ya show jamaa kweli yupo Over rated...!!
Nyimbo nzuri hufanya show iwe nzuri pia. Sa ka mashabiki hawajaifeel hiyo nyimbo unategemea nnHahahah, Mada inahusu show sio wimbo
Kwa jinsi show yake ya jana,ilivyokua mmmhhh kawaida sana,labda kwa level za wazungu watakua wanamuelewa sana mchizi,ila kibongo bongo msela bado mnoooo.....
Wewe ni pimbi maji square ebooooohMapimbi maji nyie
Kwa jinsi show yake ya jana,ilivyokua mmmhhh kawaida sana,labda kwa level za wazungu watakua wanamuelewa sana mchizi,ila kibongo bongo msela bado mnoooo.....
Akili ndogo bana, hivi kwani zile show za BET na nyinginezo za huko mbele, huwa kuna mambo ya kurushana rushana na kupigishana kelele bila sababu?
On the road😀😀I agree...
labda wimbo wake ule wa Angelina...nyingine zote upuuzi tu
I agree...
labda wimbo wake ule wa Angelina...nyingine zote upuuzi tu
Huyo Domo hatokaa afikie mafanikio ya Burna boyKwa jinsi show yake ya jana,ilivyokua mmmhhh kawaida sana,labda kwa level za wazungu watakua wanamuelewa sana mchizi,ila kibongo bongo msela bado mnoooo.....