abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Hivi ni lini viongozi wa nchi hii watafikia huu ustaarabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiamua wanawez. Ni swala la kuamua kubadilika tu.Viongozi wetu kufikia level ya viongozi wa kenya labda miaka 50 ijayo!! Huwa natamani kusikiliza taarifa zao, kenya jamani kuna raha, kwetu hapa bias ni kubwa mno!!! Ukiwa upinzani wewe tu unafanya makosa, lakini ukiwa chama tawala, wewe siku zote ni msafi, ndo maana hatutaendelea!!!
Watu wenye mawazo ya kihayawani ni wengiSisi tunaongozwa na Watu wenye mawazo duni kabisa.
Kenya inashifti kutoka africanism to EuropeanismHivi ni lini viongozi wa nchi hii watafikia huu ustaarabu???View attachment 1986336
Unajua kasema hivyo kwanini? Msikurupuke kenya kuna ukabika wa hatari,ruto hataki raila akafanye kampeni huki rift valley,na wafuasi wa raila walimfukuza ruto kwa mawe huko nyanza
Lini ruto kafukuzwa Nyannza?Unajua kasema hivyo kwanini? Msikurupuke kenya kuna ukabika wa hatari,ruto hataki raila akafanye kampeni huki rift valley,na wafuasi wa raila walimfukuza ruto kwa mawe huko nyanza
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Tunaongozwa n mazuzuSisi tunaongozwa na Watu wenye mawazo duni kabisa.
Kwani.ukiomba uraia unanyimwa?Viongozi wetu kufikia level ya viongozi wa kenya labda miaka 50 ijayo!! Huwa natamani kusikiliza taarifa zao, kenya jamani kuna raha, kwetu hapa bias ni kubwa mno!!! Ukiwa upinzani wewe tu unafanya makosa, lakini ukiwa chama tawala, wewe siku zote ni msafi, ndo maana hatutaendelea!!!
MagaidiSisi tunaongozwa na Watu wenye mawazo duni kabisa.
Wakenya wakifanya kosa kumuweka raila ikulu wamekwisha. Jamaa ni katili na ana visasi kama rafiki yake aliyetwaliwa kabla ya muda wake.Lini ruto kafukuzwa Nyannza?
Raila alipokelewa na umati mkubwa Eldoret juzi tu. We huzifahamu siasa za kenya
Wacha kujidanganya my friend. Raila amekua akifanya campaign Rift Valley tena Eldoret kwa Ruto Kwenyewe na Ruto amekua akipiga siasa Nyanza haswaa Migori na Kisii. Siasa za Kenya ni kama Mpira tu, Watu hawaweki roho zao kwa Siasa.Unajua kasema hivyo kwanini? Msikurupuke kenya kuna ukabika wa hatari,ruto hataki raila akafanye kampeni huki rift valley,na wafuasi wa raila walimfukuza ruto kwa mawe huko nyanza
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hahahaha, hujafika Kenya wewe, hata wakenya wenyewe hapa wanakushangaa.Viongozi wetu kufikia level ya viongozi wa kenya labda miaka 50 ijayo!! Huwa natamani kusikiliza taarifa zao, kenya jamani kuna raha, kwetu hapa bias ni kubwa mno!!! Ukiwa upinzani wewe tu unafanya makosa, lakini ukiwa chama tawala, wewe siku zote ni msafi, ndo maana hatutaendelea!!!