Fred Vunja Bei: Machinga wa Tanzania ambae Wikipedia inamtambua

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Kijana huyu ni msomi. Aliesoma vyuo vikuu vya UDSM na Mzumbe. Anawathibitishia vijana wengine wa Tanzania kwamba kusoma sio lazima uajiriwe. Msome Fred Vunja Bei Wikipedia. Machinga mwenye ukwasi wa zaidi ya BILIONI 3. Fred Vunja Bei. Kijana wa Iringa. Fred Ngajiro - Wikipedia
 
Jina lake halisi. Fred Fabian Ngajiro...Kabila_Mpangwa wa milima ya safu ya Kipengele au Mt. Livingstone
 
Sio lazima kuajiliwa,ila kuajiliwa inaweza kuwa chanzo Cha mtaji,huyu alipitia huko kwenye ajira
 
Alafu fino sio mpangwa ni mkinga, huyu hapa chin nachat nae 2010
 
Huyu jamaa ni inspiration kwa generation hii
Kuna uwezekano akawa kamuacha frank knows gap kubwa sana kwa utajiri japo walianza pamoja
 
Huyu jamaa ni inspiration kwa generation hii
Kuna uwezekano akawa kamuacha frank knows gap kubwa sana kwa utajiri japo walianza pamoja

Wale wana mambo yao usitake kuniambia nguo ndio zinalipa kiasi hicho


Ila nnadhani ile ni strategy yao wewe fikiria leo vunjabei angekuwa anahojiwa clouds halafu mda huo huo na frank awe na interview wasafi unafikiri urafiki wao ungeendelea hata mwezi

Frank kama alishamnyima whozu>>> mdogo wake kodi ikabidi jamaa akalie kwa fred huyu mtu unadhani ni wa aina gani?
 
Dah adse inafikirisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…