Fred Vunjabei amchana Mwijaku, ampa onyo la mwisho

Fred Vunjabei amchana Mwijaku, ampa onyo la mwisho

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mfanyabiashara maarufu, Fred Vunjabei amemtolea uvivu Mwijaku na kumtaka aache kumhusisha na ishu za utajiri, baada ya Mwijaku kudai kuwa Fred ana utajiri mkubwa kuliko Diamond Platnumz, wakati akipinga ndoto ya Diamond ya kuwa tajiri namba moja duniani.

1725544112885.png

Fred, mmiliki wa kampuni maarufu ya mavazi ya Vunjabei, ameonya kuhusu matumizi ya jina la kampuni yake mitandaoni, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu biashara na mahusiano.

Pia katika andiko lake amefichua kuwa amewahi kumfungulia Mwijaku mashtaka, ingawa suala hilo liliisha kwa makubaliano, lakini sasa ameomba Mwijaku akome mara moja kumtaja au kampuni yake, "vunjabei", kwenye mijadala yake ya mitandaoni.

1725543556944.jpeg

Baba Levo, mmoja wa watu wa karibu wa Diamond, naye pia alijitokeza kumpinga vikali Mwijaku, akionyesha msimamo wake kuwa Fred na Diamond wanastahili heshima.

1725543627329.jpeg

Soma Pia: Mwijaku kayatimba, Diamond Platnumz amjibu ataka mdahalo kuonesha utajiri iwe funzo
 
Mfanyabiashara maarufu, Fred Vunjabei amemtolea uvivu Mwijaku na kumtaka aache kumhusisha na ishu za utajiri, baada ya Mwijaku kudai kuwa Fred ana utajiri mkubwa kuliko Diamond Platnumz, wakati akipinga ndoto ya Diamond ya kuwa tajiri namba moja duniani...
Hivi lile la kipanya liliisha au anjipaalia jipya
 
Kiki hizi hakuna jipya bongo si Kwa wanyonge,,,Wanyongwaji na Wanyongaji ni maigizo na Kiki.
 
Mwijaku ni ile mijitu iliyolelewa ovyo utotoni. Kwamba inawesa tukana mtu mzima halafu inachekewa kupelekea sasa kuwa mtu mzima wa ovyo vile vile.

Kuna haja atokee mtu ambae yupo serious kabisa amtie ndani na kumlipisha fidia ya defamation ama atokee mtu wa ovyo kama Afande Fatu adhamini mtungo mmoja matata kwa hili boya halafu zisambazwe, nahisi hii kidogo itamfunga mdomo.
 
Mfanyabiashara maarufu, Fred Vunjabei amemtolea uvivu Mwijaku na kumtaka aache kumhusisha na ishu za utajiri, baada ya Mwijaku kudai kuwa Fred ana utajiri mkubwa kuliko Diamond Platnumz, wakati akipinga ndoto ya Diamond ya kuwa tajiri namba moja duniani.
Fred, mmiliki wa kampuni maarufu ya mavazi ya Vunjabei, ameonya kuhusu matumizi ya jina la kampuni yake mitandaoni, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu biashara na mahusiano.

Pia katika andiko lake amefichua kuwa amewahi kumfungulia Mwijaku mashtaka, ingawa suala hilo liliisha kwa makubaliano, lakini sasa ameomba Mwijaku akome mara moja kumtaja au kampuni yake, "vunjabei", kwenye mijadala yake ya mitandaoni.
Baba Levo, mmoja wa watu wa karibu wa Diamond, naye pia alijitokeza kumpinga vikali Mwijaku, akionyesha msimamo wake kuwa Fred na Diamond wanastahili heshima.
Soma==> Mwijaku kayatimba, Diamond Platnumz amjibu ataka mdahalo kuonesha utajiri iwe funzo
Kwasababu nina akili timamu huwa sizungumzii chochote kinachomhusu Mwijaku!
 
Mfanyabiashara Maarufu nchini na kada wa CCM Mh Fredi Vunjabei amemtaka Mtangazaji nguli nchini Burton Mwemba Mwijaku aache kumtajataja Jina lake na la kampuni zake tena AKOME kabisa na hili ni Onyo la Mwisho

Vunjabei amesema Mwijaku anamfatafata sana na alishawahi kumshtaki ila Burton Mwemba Mwijaku akatuma Wanaume kadhaa wamwombee msamaha na Yeye akamsamehe ila safari hii akiendelea na hiyo Tabia yake atamshughulikia

Naye Mwijaku kwenye majibu yake amemwambia Fred " kwahiyo ni kweli Madeni ya Benki yanakukimbiza Mjini tajiri "

Credit: Mwananchi

My take; Nadhani Ndio sababu Mwijaku kakemea Uteuzi wa Chawa akimlenga Mama Vunjabei 😀
 
Mfanyabiashara Maarufu nchini na kada wa CCM Mh Fredi Vunjabei amemtaka Mtangazaji nguli nchini Burton Mwemba Mwijaku aache kumtajataja Jina lake na la kampuni zake tena AKOME kabisa na hili ni Onyo la Mwisho

Vunjabei amesema Mwijaku anamfatafata sana na alishawahi kumshtaki ila Burton Mwemba Mwijaku akatuma Wanaume kadhaa wamwombee msamaha na Yeye akamsamehe ila safari hii akiendelea na hiyo Tabia yake atamshughulikia

Naye Mwijaku kwenye majibu yake amemwambia Fred " kwahiyo ni kweli Madeni ya Benki yanakukimbiza Mjini tajiri "

Credit: Mwananchi

My take; Nadhani Ndio sababu Mwijaku kakemea Uteuzi wa Chawa akimlenga Mama Vunjabei 😀
Mwijaku ni shoga,alikuwa anajificha sasa naona vimelea vya ushoga vimekomaa hawezi kujificha tena, siku si nyingi atajitangaza mwenyewe kuwa ni shoga au atatangaza kubadilisha jinsia
 
Hata humu wamo wenye tabia kama za mwinjaku kujikomba komba kujipendekeza kutaka wajuane na kila mtu kujifanya pisikali, madon na ID zote maarufu wanajuana nao kibinafsi, wapo kama kamasi za chafya ukipiga tu hizo zimeshuka
Mchumba kumbe na wewe umo eeh?! 😀😀😀

Una maneno hatari! 😂🙌
 
Back
Top Bottom