Hata Bigirimana ilisemwa hivihivi. Chezaji la Nyuu Kesto.Umepigwa wapi?
Hata Sarpong ilisemwa hivihivi.Hii thread inaenda kupeleka kilio kingine. Guede ni mchezaji ni swala la muda tu mtaumbuka nyie
Sarpong hoyee!Sasa hata kama hafikii kiwango cha Mayele ndio acheze kama Konkoni
Yikpe alikuwa gwede gwede!Mbona unateseka sana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa namna Guede alikua anacheza asee pale kuna mchezaji mkubwa sana. Hii ni story nyingine ya usajili mzuri Yanga.
Time will tell, trust me
Muda upo kututambulisha nani ni naniHata Sarpong ilisemwa hivihivi.
Yupo anakiwasha so mchezoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Freddy yupo leo vs jkt tanzania?
fred na jobe wana magoli mangapiYani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Kweli police ni wabovu ndio maana wamekula [emoji2772]kama wabovu wenzaoYani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Hahahahaha..yule harudii tena..huu wenyewe unaeza kimbiwa na mletajiHuu uzi ungenoga sana kama ungeanzishwa na yule Mwasibu wetu nguli wa jamii forums.