Fredrick Lowassa, mbona kimya Bungeni?

Ubunge wa wizi hata nguvu ya kuongea humo bungeni unakosa!!
 
Monduli hakuna matatizo aongee nini?jamii yake ni watu wa kuhama hama, mifugo na wanyama pori.
 
Siasa za mwendazake zilikuwa za ki-analogy sana!!
 
Like father like Son ...................!!
 
Alifuata maslahi kama Wabunge wengine wote wa CCM na anapata, kelele za nini?
 
Huyo Fred bungeni haongei na unaambiwa jimboni hakuna cha maana kinachoendelea. Akitoka zake Dodoma ni Dar...! Masaini aende kufanya nini huko? Na hata akiendea kampani yake ni ya wachapa kinywaji na hana muda wa kuonana na watu wa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…