Elections 2015 Fredrick Mwakalebela kipenzi cha wana Iringa kuchukua jimbo.


We mleta uzi nimepapenda hapo ulipoandika "alilakiwa na mashabiki lukuki waliojitokeza kumsindikiza" alafu unaweka picha ya mchukua fom. Mbna hao lukuki hatuwaon?
Hahaaa..... hvi swali la kujiuliza kwa akili ndogo tu ikiwa kuna picha ya mtangaza nia inakuaje pcha ya lukuki isiwepo.......
Tafakar chukua hatua.......
siasa ya majitaka on progressv
 
Mwambieni Iringa mjini kuna mbunge hajamaliza mda wake, tunamtuma tena arudi bungeni mwaka huu 2015 na kuendelea. Halafu changamoto anazodai anauwezo wa kuzitatua bado pia zipo TFF.
 
Wana-Iringa tumeamua kurudi nyumbani KUMENOGA. Karibu Mhe. Mwakalebela 2020 si mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…