Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Mwanasheria mkuu fredrik werrema akiwa anahojiwa na star tv tarehe 09/02/14 amekiri prof shivji,dr benson bana ni watu makini kuliko baadhi ya wabunge,sasa nashangaa kwanini hawakuwachagua katika bunge la katiba,hawa jamaa mbona ni wanafki sana,wanania gani na taifa hili,mnatutaka nini watanzania,mnajisahau na kuanza kuropoka vitu ambavyo mliviacha katika zoezi kama hili la katiba,eti anasema hana chama kweli kweli werrema huna chama aaaah!!!? Hutaki wana cccm wasitaje mawaziri mizigo,kweli huna chama mbona unakisemea chama!?