[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimejikuta nacheka manake miimi labda nikiwa kwa gari ndio naskiza radio
Alitishaaa sana kwenye sindano 5 za moto...Fredi waa alikuwa kipindi cha Redio Free Africa sasa alipokuja mjini wahuni wakamwaribuu..UMENIELEWA nadhani!
Nasindano tano za moto way backFredi waa alikuwa kipindi cha Redio Free Africa sasa alipokuja mjini wahuni wakamwaribuu..UMENIELEWA nadhani!
Alafu unakuta hata wenzake wanashtuka, wanamuuliza 'una uhakika?' naye anasema 'ndio'Ila huyo jamaa huwa anaharibu,anaongea sana vitu asivyovijua.
Sijawahi muelewa alipoendaga Clouds, sijui nani alimshauri aondoke radio free na kuacha upweke kwenye "SINDANO TANO ZA MOTO" na Ile jumapili kwenye " JE, HUU NI UUNGWANA ? "View attachment 1376753
Fred Fidelis aka Fredwaa
Kipindi cha Powe breakfast kimepwaya sana kama sio kupoa, kwa muda wa alfajiri kuanzia saa11 mpaka 12, amsha amsha za Fredwaa hazipo, Utabiri wa Hari ya hewa hamna, Paza Sauti pamoja na Ripoti ya Bonge ya alfajiri hakuna.
Pia zile reggae za alfajiri siku ya Ijumaa hakuna, sasa huyu jamaa ni likizo tu au kuna lingine nyuma ya pazia, imekuwa muda sana hayupo kwenye Kipindi, Inaleta shaka flani kama jamaa kapiga chini hivi, post yake kwenye akaunti ya Instagram siku mbili zilizopita inanipa mashaka, inasema: "FORGIVE, FORGET and move on, everyone got history in their life".
Pia kituo kiko kwenye kampeni ya siku ya mwanamke, na karibu asilimia 90 ya staff wameweka picha ambayo inatangaza kampeni hiyo ila yeye sijaona hiyo kitu.
PM Mr Shafii Dauda fanyeni mpango huyu jamaa arudi, tunajua kwenye riziki yoyote hapakosi husda kama ni hivyo basi weka sawa, kama ni likizo basi wasikilizaji wa kipindi wajuzwe, tumemiss sauti, jingle, drops za Mr Energy Man, hakuna kama yeye hapo.
Kwani babra si bado yupo au unamsema fina mango?Sijawahi kusikiliza hiki kipindi mda mrefu sana nadhani toka enzi za kina babra! Nikawa mpenzi wa TV hasa kipindi cha 360! Nikaja kukitema rasmi alivyoingia yule mbeba mikoba wa Betina!
Bora ya Sam na yule Dada lakini haka kajamaa kengine kakanifanya nianze kufaidi vizuri ka smart TV kangu kwa kuangalia mambo mengine!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtu anaefanya kaz ya duka ya kukaa unafikir hasikiliz redio anasikiliza kuna baadhi ya kaz zinaruhusu kusikiliza redio
kabisa yaaaniduuuuh hata niwe na bando kiasi gan siwez na isitoshe sio taarifa zote utazipata kwenye mitandao ya kijamii kwa wakati na hata ukiipata ni juujuu tu tofauti na kwenye Radio ntasikiliza music ntapata habari na uchambuzi wa ndan zaidi
kabisa, haieleweki ni kipindi cha commedy au vichekesho au kero kwa wasikilizaji, yule afanye vitu vingine mule ndani, Amplifaya imekuja kuharibika sana aiseeRuge hapa alikosea kabisa..RIP though
Amplifaya na Millard pekee ni bonge la show,ila sasa akiwa na Huyu dada wa Kipemba,vurugu tupu..