Fredy Mwakalebela na mchango wake wa kuziwezesha timu za Lipuli fc na Njombe mji kucheza ligi kuu ya vodacom Tanzania.

AUGUSTINO CHIWINGA

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
220
Reaction score
689
Kitu unachotakiwa kukifahamu ni kwamba Frederick Mwakalebela
amekua ni mjumbe wa kamati wa kusaidia kupandisha ligi kuu timu za Njombe Mji na Lipuli Fc
.
Jambo ambalo limefanikiwa kwani timu hizo zimefuzu kucheza ligi kuu Vodacom katika msimu unaokuja.

Hilo liliwezekana kutokana na mikakati yake ya kiuongozi na utawala hivyo akiwa Rais wa TFF ataleta mageuzi makubwa katika kuziwezesha timu za mikoani kufuzu kucheza ligi kuu ya Vodacom kwa kudhibiti vitendo vya rushwa michezoni, na kila aina ya ukiritimbaunaozinyima fursa ya kufuzu ligi kuu timu za mikoani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa si akagombee urais LIPULI
 
Ndugu yangu hata kama unampigia mtu kampeni inabidi uwe unaongea mambo ya haki Mwakalebela ana mchango gani mkubwa katika kuipandisha Lipuli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nimuulize msigwa hizi habari kama zina ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…