Free Avatar

Paulo

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2009
Posts
342
Reaction score
68
Wakuu yeyote mwenye kupenda hii avatar anaweza itumia. mi imenishinda!
 
pua iko wapi!
Ameitafuna au?

Pua imejificha kwa juu. Ni ktk harakati za kusema HESHMAAAAA......TOAAAAAAAA...ndo mdomo ukafunguka sana na pua ikajificha kwa juu
 
Dah, kama hii siyo pichaduka basi ni ulemavu!
 
these days everything is possible with photoshop
 
Wakuu yeyote mwenye kupenda hii avatar anaweza itumia. mi imenishinda!

Mkuu mimi nawahitaji sana askari kama hawa!
Huyu hahitaji pua, ya nini hewa yote inapitia mdomoni
Ni msikivu sana kwa size ya masikio
Hahitaji silaha, anaokoa forex, akikung'ata umekwisha
Ulimi? wa nini tena hahitaji maongezi huyu
Nikipata vijana kama hawa 50 tu, adui akiwaona wanatokea anabwaga manyanga!
Mara ya mwisho nilikutana nao kule Ivory Coast na sehemu za Mai Mai Congo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…