Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Mwanzo nilikuwa hata kama sina bando nikiwa na line ya halotel naweza kuingia baadhi ya sites kama JF buree kabisa...lakini saiv inakataaa.
Nimejarib kubadili line ya mtandao mwingine nako ni holaaa!! Vp huduma imesitishwa au nini shida??
Wajuvi mnisaidie.
Nimejarib kubadili line ya mtandao mwingine nako ni holaaa!! Vp huduma imesitishwa au nini shida??
Wajuvi mnisaidie.