FREE ENGLISH CLASS-mabingwa wa kingereza tukutane hapa.

FREE ENGLISH CLASS-mabingwa wa kingereza tukutane hapa.

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Leo kwa wale mabingwa wa kidhungu tutajifunza sentesi ngumu za kizungu,tunaanzia hapa:
1)chungulia ndani ya chungu-POT CRY INSIDE THE BITTER.
2)nyooka,kata kona,kisha piga simu-SNAKE,CUT THE CORNER,THEN BEAT THE PHONE.
karibuni darasani.
 
Wakukurupuka umezindukia pande gani ?
halafu we wakusoza ule ujumbe ulopost february 25 mwaka jana hujarudisha mrejesho,ulipata ulichokiulizia ?
 
I thought it was serious English words.... I prepared jargon words and all bombastic words to share here.

I like speaking and writing in English so much, thanks to the office am working. .. makes good practice for me.

Bourne Note

Ciao.

Multi - lingual Kasie.
 
Unatakiwa utumia akili dadangu haswa ukiwa katika mtandao wa jf.
kwanza kabla ya kusoma post,angalia post imepostiwa jukwaa gani.
pole sana maana waligundua kuwa wewe huwa hautumii hata akili ya kuzaliwa acha ile ya darasani ambayo hujawahi kuitumia
Pliese dont any man and wife ok?how are you now?
 
You are more than me, BRING BACK YOUR BRAIN.
 
Unatakiwa utumia akili dadangu haswa ukiwa katika mtandao wa jf.
kwanza kabla ya kusoma post,angalia post imepostiwa jukwaa gani.
pole sana maana waligundua kuwa wewe huwa hautumii hata akili ya kuzaliwa acha ile ya darasani ambayo hujawahi kuitumia
Yaan.. Umemjibu vzur... Mada husika na hili jukwaa ni vitu vinavyoendana kabisa.
 
Back
Top Bottom