SamJet Senior Member Joined Jul 22, 2009 Posts 162 Reaction score 13 May 18, 2012 #1 Anatafutwa mtu mwenye blogu hai ya recruitment/kazi/ajira ya hapa Tanzania ili tumpe mkataba. awasiliane na sam@peppre.com
Anatafutwa mtu mwenye blogu hai ya recruitment/kazi/ajira ya hapa Tanzania ili tumpe mkataba. awasiliane na sam@peppre.com
SamJet Senior Member Joined Jul 22, 2009 Posts 162 Reaction score 13 May 18, 2012 Thread starter #2 Amam ambaye hana lakini ana uzoefu wa wordpress!
nurbert JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 1,887 Reaction score 427 May 18, 2012 #3 kazi gan tena kaka. Natafuta ajira
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 May 19, 2012 #4 Mwanzisha mada unaweza ukatoa maelezo ya kina zaidi?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 May 19, 2012 #5 Ndibalema said: Mwanzisha mada unaweza ukatoa maelezo ya kina zaidi? Click to expand... Ndibalema unatafuta kutandikwa!! subiri uambiwe kuna ada ya kujisajili kabla ya kupewa hiyo kazi ndiyo akili zitakurudia. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ndibalema said: Mwanzisha mada unaweza ukatoa maelezo ya kina zaidi? Click to expand... Ndibalema unatafuta kutandikwa!! subiri uambiwe kuna ada ya kujisajili kabla ya kupewa hiyo kazi ndiyo akili zitakurudia.
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 May 19, 2012 #6 Matola said: Ndibalema unatafuta kutandikwa!! subiri uambiwe kuna ada ya kujisajili kabla ya kupewa hiyo kazi ndiyo akili zitakurudia. Click to expand... Aisee brother Matola ndio kinachofuata hicho. Siku hizi wajanja wana take advantage ya tatizo la ajira nchini kujinufaisha wao.
Matola said: Ndibalema unatafuta kutandikwa!! subiri uambiwe kuna ada ya kujisajili kabla ya kupewa hiyo kazi ndiyo akili zitakurudia. Click to expand... Aisee brother Matola ndio kinachofuata hicho. Siku hizi wajanja wana take advantage ya tatizo la ajira nchini kujinufaisha wao.