LGE2024 Freeman Mbowe aendelea kuiteketeza CCM Mbeya, Awanadi Wagombea wa Chadema kila kijiji

LGE2024 Freeman Mbowe aendelea kuiteketeza CCM Mbeya, Awanadi Wagombea wa Chadema kila kijiji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwamba Mbowe, ambaye sasa amepewa jina Jipya la Mtu chuma, anaendelea na ziara ya Kampeni Mkoani Mbeya.

Hii hapa ni Kata ya Igawilo

Screenshot_2024-11-24-13-28-17-1.png
Screenshot_2024-11-24-13-28-26-1.png


Taarifa zingine zinaeleza kwamba Mwanasiasa huyo Maarafu zaidi kwenye Ukanda wa Maziwa Makuu akifuatiwa kwa mbali na Raila Odinga, Amepangiwa kuhutubia Mikutano Minne kwa siku ya leo tu.
 
Back
Top Bottom