Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Usisahau pia kwamba alilala Polisi baada ya Mamluki RPC wa Songwe kutumikishwa na CCM kwa lengo la kudhoofisha Kampeni za Chadema
Sasa angalia Hapa Mbeya Mjini, Baada ya Mikutano mingine 8
Katika Mikutano yote hiyo Mbowe amesisitiza Wananchi kuwakataa waliowaletea Umasikini na dhiki zote kwa zaidi ya miaka 60, Amesema kwamba, Matatizo ya Tanzania hayawezi kumalizwa kwa kutumia akili zilezile za watu wale wale walioyaleta
#WATAKE WASITAKE
Sasa angalia Hapa Mbeya Mjini, Baada ya Mikutano mingine 8
Katika Mikutano yote hiyo Mbowe amesisitiza Wananchi kuwakataa waliowaletea Umasikini na dhiki zote kwa zaidi ya miaka 60, Amesema kwamba, Matatizo ya Tanzania hayawezi kumalizwa kwa kutumia akili zilezile za watu wale wale walioyaleta
#WATAKE WASITAKE