LGE2024 Freeman Mbowe afika Mbalizi kuwaombea Kura Wagombea wa CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Pamoja na Mikutano kadhaa aliyohutubia leo, Mwenyekiti wa Chadema amefika Mbalizi na kuwaomba wananchi wachague Wagombea wa Chadema ili kuepuka laana ya Mungu


Wakati CHADEMA ikipita huku na kule kuomba Kura Wao wanahangaika kuomba Msamaha


Swali ni Je Ni kitabu gani cha Mungu kimeagiza Wanadamu Wamsamehe Shetani?
 
Huyu Mwamba ana Energy balaaa.....huwezi fikiria kama ana 60+yrs.

Anapiga huku anapiga kule
 
Mkuu hao wenye nguo za kijani ni Mateka? Mbona nyuso.zao zimechoka sana?
 

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…