Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi huyu Mshamba kumbe anatoka Mbalizi!Nyumbani Kwa akina ChoiceVariable πππ
Huyu Mwamba ana Energy balaaa.....huwezi fikiria kama ana 60+yrs.Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Pamoja na Mikutano kadhaa aliyohutubia leo, Mwenyekiti wa Chadema amefika Mbalizi na kuwaomba wananchi wachague Wagombea wa Chadema ili kuepuka laana ya Mungu
Wakati CHADEMA ikipita huku na kule kuomba Kura Wao wanahangaika kuomba Msamaha
Swali ni Je Ni kitabu gani cha Mungu kimeagiza Wanadamu Wamsamehe Shetani?
Hahaha......ndio maana inaogopwa hadi na vyombo vya dola.CHADEMA hainaga shughuli ndogo kiuchweli!
Hapo ndio kwao kabisa ππHivi huyu Mshamba kumbe anatoka Mbalizi!
Mkuu hao wenye nguo za kijani ni Mateka? Mbona nyuso.zao zimechoka sana?Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Pamoja na Mikutano kadhaa aliyohutubia leo, Mwenyekiti wa Chadema amefika Mbalizi na kuwaomba wananchi wachague Wagombea wa Chadema ili kuepuka laana ya Mungu
Wakati CHADEMA ikipita huku na kule kuomba Kura Wao wanahangaika kuomba Msamaha
Swali ni Je Ni kitabu gani cha Mungu kimeagiza Wanadamu Wamsamehe Shetani?
Mkuu mbona umenikosea sana, nimecheka Hadi nikapitiwa na ushuzi kidogo na nimekaa na watoto wangu daah nimeona aibu nimeingia chumbaniNamwona Lucas amepiga goti akibubujikwaπ
Sasa peleka Nchimbi au Makalla kwenye Mikutano 10 kwa siku uone ambulance kuelekea MlongazilaHuyu Mwamba ana Energy balaaa.....huwezi fikiria kama ana 60+yrs.
Anapiga huku anapiga kule
Hahaha mikutano kumi mingi.....mwisho mutatu hoiiiSasa peleka Nchimbi au Makalla kwenye Mikutano 10 kwa siku uone ambulance kuelekea Mlongazila
Ni wagombea wa ccm wanawaomba msamaha wananchiMkuu hao wenye nguo za kijani ni Mateka? Mbona nyuso.zao zimechoka sana?
Utapel ni kitu kibaya sana hapo wanawaza watawaambiaje wananchiMkuu hao wenye nguo za kijani ni Mateka? Mbona nyuso.zao zimechoka sana?
Sasa labda kama wamejidhalilisha wenyewe sisi tunasambaza tu habari zao wenyeweSasa Kwa picha Ile Erythrocyte ameishalilisha CCM au CCM inajidhalilisha?
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Pamoja na Mikutano kadhaa aliyohutubia leo, Mwenyekiti wa Chadema amefika Mbalizi na kuwaomba wananchi wachague Wagombea wa Chadema ili kuepuka laana ya Mungu
Wakati CHADEMA ikipita huku na kule kuomba Kura Wao wanahangaika kuomba Msamaha
Swali ni Je Ni kitabu gani cha Mungu kimeagiza Wanadamu Wamsamehe Shetani?