Freeman Mbowe ageuka "LULU" vyama vya CCM, CHADEMA na ACT Wazalendo. Vinatafuta umaarufu wa kulazimisha kupitia kwake

Freeman Mbowe ageuka "LULU" vyama vya CCM, CHADEMA na ACT Wazalendo. Vinatafuta umaarufu wa kulazimisha kupitia kwake

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Chadema wanasema Freeman Mbowe abaki gerezani hadi pale haki ya kisheria itakapoonekana imetendeka. Wanaamini hii itakiimarisha chama na Mbowe mwenyewe kisiasa wakiwa wameanza kumfananisha na RIP Nelson Mandela wa SA

CCM wanataka Mbowe atolewe gerezani kupitia huruma ya Rais c/o DPP wakiamini hatua hiyo itaongeza kupendwa kwa mwenyekiti wao na wananchi wote bila kujali itikadi kuelekea 2025.

ACT wazalendo wao wanacheza kama "NDUMILAKUWILI" ili Freeman Mbowe atakapotoka gerezani kwa namna yoyote ile ionekane kuwa Jitihada za Udalali wa kisiasa wa Zitto Kabwe KC wao ndio zilizomtoa.

Nawatakia maandalizi mema ya Noel.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
 
Mbowe ameteseka.

Naamini hata kiuchumi hana kitu tena

Ni kosa gani kubwa hivyo la kufikia kumtesa mwenzenu kiasi hicho.

Amebakia body structure tu hata ukimtazama sana hayuko tena vzr kiakili.

Mungu kaa tuu huku Mbinguni huku maasi ni mengi
 
Mbowe ameteseka.

Naamini hata kiuchumi hana kitu tena

Ni kosa gani kubwa hivyo la kufikia kumtesa mwenzenu kiasi hicho.

Amebakia body structure tu hata ukimtazama sana hayuko tena vzr kiakili.

Mungu kaa tuu huku Mbinguni huku maasi ni mengi
Acha tu
 
Mbowe ameteseka.

Naamini hata kiuchumi hana kitu tena

Ni kosa gani kubwa hivyo la kufikia kumtesa mwenzenu kiasi hicho.

Amebakia body structure tu hata ukimtazama sana hayuko tena vzr kiakili.

Mungu kaa tuu huku Mbinguni huku maasi ni mengi
Mungu wa mbinguni ni mwema wakati wote!
 
Mbowe ameteseka.

Naamini hata kiuchumi hana kitu tena

Ni kosa gani kubwa hivyo la kufikia kumtesa mwenzenu kiasi hicho.

Amebakia body structure tu hata ukimtazama sana hayuko tena vzr kiakili.

Mungu kaa tuu huku Mbinguni huku maasi ni mengi
Vipi umeshawahi kuwaza pia mateso ya Sabaya? Au umeshawahi kuwaza ni watu wangapi wapo magerezani wanapitia mateso kama hayo? Au Mbowe ni binadamu muhimu kuliko wengine
 
Vipi umeshawahi kuwaza pia mateso ya Sabaya? Au umeshawahi kuwaza ni watu wangapi wapo magerezani wanapitia mateso kama hayo? Au Mbowe ni binadamu muhimu kuliko wengine
Sabaya huyu aliyepora milioni 90 za mjasiriamali wa kichagga?
 
Vipi umeshawahi kuwaza pia mateso ya Sabaya? Au umeshawahi kuwaza ni watu wangapi wapo magerezani wanapitia mateso kama hayo? Au Mbowe ni binadamu muhimu kuliko wengine
Waza wewe. Kwani huna kichwa na hisia? Yeye kawaza hivyo, ni kazi yako kuwazia unaoguswa nao. Usimlazimishie hisia, sawa!
 
Vipi umeshawahi kuwaza pia mateso ya Sabaya? Au umeshawahi kuwaza ni watu wangapi wapo magerezani wanapitia mateso kama hayo? Au Mbowe ni binadamu muhimu kuliko wengine
Pole sana shemela. Ukame wa miaka 30 si wa kitoto. Vumilia tu, maisha ndivyo yalivyo.
 
Ndoa ya CCM na ACT haijaanza kuwepo leo😁😁😁
3j5.jpg
 
CCM na ACT kila kimoja kinatafuta "kitoke vipi na kesi ya Mbowe".

Chadema wako bayana kabisa kwamba Mbowe kesi yake ni ya kubumba hivyo aachiwe bila masharti.
 
mbowe kwa sasa anawapiga mbele na nyuma hadi wameamua kuwa wapole.
 
Vipi umeshawahi kuwaza pia mateso ya Sabaya? Au umeshawahi kuwaza ni watu wangapi wapo magerezani wanapitia mateso kama hayo? Au Mbowe ni binadamu muhimu kuliko wengine
Usinichanganya, fungua uzi wa hao uliowataja uone kama hatutachangia.
 



Sina neno
 
Chadema wanasema Freeman Mbowe abaki gerezani hadi pale haki ya kisheria itakapoonekana imetendeka. Wanaamini hii itakiimarisha chama na Mbowe mwenyewe kisiasa wakiwa wameanza kumfananisha na RIP Nelson Mandela wa SA...
PILATO: Niwafungulie nani, Yesu au Baraba? WAYAHUDI: Barabaaaaaaa!( naye Baraba alikuwa mnyang'anyi). CCM wanaona bora Sabaya(mnyang'anyi) aachiliwe kuliko Mbowe asiyekuwa na kosa.
 
Back
Top Bottom