Pre GE2025 Freeman Mbowe aingia Siha, Mbunge wa hapo ajiandae kufungasha virago

Pre GE2025 Freeman Mbowe aingia Siha, Mbunge wa hapo ajiandae kufungasha virago

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwamba wa siasa za kisasa Barani Africa, Freeman Mbowe leo 14/07/2024 amefika Siha Mkoani Kilimanjaro, Katika Mwendelezo wa Chama chake kufundisha wananchi namna ya kulikomboa Taifa lao.

Amewaambia wananchi hao kwamba Njia pekee na ya Rahisi kabisa ya kuondoa Dhiki, Tabu, Shida, Utekaji, Mauaji, Njaa, Ukosefu wa ajira, ubabe, Uungu Mtu, Uonevu na Makandokando yote ni kuing'oa ccm madarakani kwa udi na Uvumba

Kimsingi Wananchi wa Siha ambao wengi hawamfahamu hata Mbunge wao, zaidi ya kumsikia kwa mbali kwenye vyombo vya habari, Wamekubali hoja za Mbowe na kwa sasa wanasubiri uchaguzi utangazwe tu

Hali halisi ilikuwa hivi

Screenshot_2024-07-14-16-34-14-1.png
Screenshot_2024-07-14-16-33-54-1.png
Screenshot_2024-07-14-16-33-39-1.png
Screenshot_2024-07-14-16-33-20-1.png
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwamba wa siasa za kisasa Barani Africa, Freeman Mbowe leo 14/07/2024 amefika Siha Mkoani Kilimanjaro, Katika Mwendelezo wa Chama chake kufundisha wananchi namna ya kulikomboa Taifa lao.

Amewaambia wananchi hao kwamba Njia pekee na ya Rahisi kabisa ya kuondoa Dhiki, Tabu, Shida, Utekaji, Mauaji, Njaa, Ukosefu wa ajira, ubabe, Uungu Mtu, Uonevu na Makandokando yote ni kuing'oa ccm madarakani kwa udi na Uvumba

Kimsingi Wananchi wa Siha ambao wengi hawamfahamu hata Mbunge wao, zaidi ya kumsikia kwa mbali kwenye vyombo vya habari, Wamekubali hoja za Mbowe na kwa sasa wanasubiri uchaguzi utangazwe tu

Hali halisi ilikuwa hivi

View attachment 3042308View attachment 3042310View attachment 3042312View attachment 3042313
Mbowe anashangaa,
halafu wananchi wanasikitika na kumsikitikia dah 🐒
 
A female version of Lucas.
Ukisema version maana yake ni toleo na labda mimi namuiga Mwashambwa, sasa angalia huyu Mwashambwa amekuja lini JF halafu angalia mimi niko tangu lini.

Kama hamjui Kiingereza andikeni kiswahili tu ili mueleweke, vinginevyo mnadhalilisha wazazi wenu.

Kingine ni hiki, kunifananisha mimi na mtu mwingine hapa JF ni sawa na kunitukana kwa lengo la kunikatisha tamaa ya ukombozi, , hata hivyo sijawahi kuogopa matusi kutoka kwa watu duni, maana matusi na uchawi ndio nguzo ya masikini

Njia pekee ya kuniangamiza mimi ni kunipiga risasi nyingi sana, na pia unapaswa kujipanga hasa, maana siishi kibwege
 
amefika Siha Mkoani Kilimanjaro, Katika Mwendelezo wa Chama chake kufundisha wananchi namna ya kulikomboa Taifa lao.
Sawa, kazi ya kufundisha iendelee
Njia pekee na ya Rahisi kabisa ya kuondoa Dhiki, Tabu, Shida, Utekaji, Mauaji, Njaa, Ukosefu wa ajira, ubabe, Uungu Mtu, Uonevu na Makandokando yote ni kuing'oa ccm madarakani kwa udi na Uvumba
Nakazia ✍️ ✍️
 
Ukisema version maana yake ni toleo na labda mimi namuiga Mwashambwa, sasa angalia huyu Mwashambwa amekuja lini JF halafu angalia mimi niko tangu lini.

Kama hamjui Kiingereza andikeni kiswahili tu ili mueleweke, vinginevyo mnadhalilisha wazazi wenu.

Kingine ni hiki, kunifananisha mimi na mtu mwingine hapa JF ni sawa na kunitukana kwa lengo la kunikatisha tamaa ya ukombozi, , hata hivyo sijawahi kuogopa matusi kutoka kwa watu duni, maana matusi na uchawi ndio nguzo ya masikini

Njia pekee ya kuniangamiza mimi ni kunipiga risasi nyingi sana, na pia unapaswa kujipanga hasa, maana siishi kibwege
Ulivyo mjinga unashindwa kutofautisha kati ya 'version' na 'new version' .
Halafu wewe haupo kwenye harakati za ukombozi kama unavyojinasibu.Wewe upo kwenye harakati za kuramba makalio ya viongozi wa chadema(Mbowe specifically)
 
Back
Top Bottom