Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Mwamba sana Kabisa, ameonekana kwenye kituo cha kujiandikisha huko kijijini Nshala kwenye Jimbo la Hai, Mkoani Kilimanjaro.
Amejiandikisha kwenye Daftari la Kijiji hicho ili kutimiza matakwa ya kisheria kwa lengo la kushiriki kuchagua viongozi wa kijiji chake.
Huyu hapa
View attachment 3121853View attachment 3121854