Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa CHAFEMA, Freeman Mbowe akiwasili tayari kuzungumza na wanachama waliojitokeza nyumbani kwake leo Desemba 18.2024.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 ngoja tusubiri tamkoApumzike tu
Naunga mkono hoja.Apumzike tu
Nimeshangaa leo maccm yanapenda mchakato wa chadema na kila siku threads humu aaaaa chadema ni mwenyekiti wa kudumu ameifanya saccos chadema.Yaani kweli leo hii Lucas wa kumtetea mbowe ?
Nimebubujikwa na machozi ya huzuni sana..
Mwamba ni mmoja tu TL
Hauoni kinachofanyika? Lucas na wenzake wanamtetea sana Mbowe ili watu kama nyinyi muamini wanampenda na hivyo kuwafanya mumpigie kura Lissu. Swali ni tangu lini CCM wamempenda Mbowe kiasi hiki?Yaani kweli leo hii Lucas wa kumtetea mbowe ?
Nimebubujikwa na machozi ya huzuni sana..
Mwamba ni mmoja tu TL
Sidhani!Apumzike tu hatutaki maigizo.
Kashajiharibia tayari. Mbowe alikuwa anaheshimika sana, leo kawa zaidi ya Lipumba na CheyoInatosha asipende kujiharibia heshima yake Kwa kuwasikiliza CHAWA.
Na Mimi ninashauri Mbowe akijaribu kuonyesha nia ya kugombea Uenyekiti licha ya kuwa Mwenyekiti miaka 20 na ushee basi Lisu ajiondoe Tu kwenye hicho kinyang'anyiro Ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa kudumu Kwa maana ya kuwa hiyo nafasi haiwezi kushikiliwa na mtu mwingineAkigombea means hapingwi. Na akigombea Chadema haitakuwa moja. Akitangaza kugombea natangaza rasmi kuwa Sitakuwa sehehmu ya yeye ndani ya chama.
😀😀😀CCM wamejazana hapo kama wote
Bia za kumwagaMwenyekiti wa CHAFEMA, Freeman Mbowe akiwasili tayari kuzungumza na wanachama waliojitokeza nyumbani kwake leo Desemba 18.2024.
View attachment 3179562
ShitApumzike tu hatutaki maigizo.