J Jo Tsoxo JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 1,145 Reaction score 702 Dec 18, 2024 #21 OKW BOBAN SUNZU said: Kashajiharibia tayari. Mbowe alikuwa anaheshimika sana, leo kawa zaidi ya Lipumba na Cheyo Click to expand... Shit
OKW BOBAN SUNZU said: Kashajiharibia tayari. Mbowe alikuwa anaheshimika sana, leo kawa zaidi ya Lipumba na Cheyo Click to expand... Shit
J Jo Tsoxo JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 1,145 Reaction score 702 Dec 18, 2024 #22 R technically said: Kama atagombea akashinda hata kihalali utakuwa ndio mwisho wa chadema Bora iki chama kife tu sio kuendelea kutumia damu za Watanzania kujinufaisha binafsi Click to expand... Rubbish
R technically said: Kama atagombea akashinda hata kihalali utakuwa ndio mwisho wa chadema Bora iki chama kife tu sio kuendelea kutumia damu za Watanzania kujinufaisha binafsi Click to expand... Rubbish
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,454 Reaction score 11,029 Dec 18, 2024 #23 Waufukweni said: Mwenyekiti wa CHAFEMA, Freeman Mbowe akiwasili tayari kuzungumza na wanachama waliojitokeza nyumbani kwake leo Desemba 18.2024. View attachment 3179562 Click to expand... Haya maigizo ya kuwajazia bodaboda wese na kuwaandamanisha tushayazoea wanasiasa acheni sanaa.
Waufukweni said: Mwenyekiti wa CHAFEMA, Freeman Mbowe akiwasili tayari kuzungumza na wanachama waliojitokeza nyumbani kwake leo Desemba 18.2024. View attachment 3179562 Click to expand... Haya maigizo ya kuwajazia bodaboda wese na kuwaandamanisha tushayazoea wanasiasa acheni sanaa.