Freeman Mbowe amjibu Rais Samia; Ni kweli watu wengi wanafariki, upekee unatokea anapodakwa na vyombo vya dola halafu anapotezwa

Freeman Mbowe amjibu Rais Samia; Ni kweli watu wengi wanafariki, upekee unatokea anapodakwa na vyombo vya dola halafu anapotezwa

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) amejibu kauli ya Rais Samia kuwa 'Kifo ni Kifo tu' amesema

"Ni kweli vifo vipo vingi na watu wengi wanapoteza maisha, tunakubali, lakini maisha yote haya yanayopotea kila mmoja una thamani yake ya kipekee hasa pale mtu 'anapodakwa na vyombo vya dola', halafu anapotezwa, na ndiyo sababu tunasema kama basi tuna wasiwasi na mambo kama hayo ili tutengeneze mazingira ya kulifanya taifa letu liwe na mshikamano, tupate vyombo huru vinavyoweza kufanya uchunguzi ili yeyote miongoni mwetu asiwe ni mchezaji na refarii, ninaamini ni rai ambayo sisi tuliitoa kama chama (CHADEMA) tukijua ni nia njema tu ambayo hatutalaumiana kwa sababu anayechunguza ataweza kuyaweka mambo wazi ili wale wanaohusika katika kufanya makosa haya wachukuliwe hatua za msingi, bado tunaendelea kusubiri lakini hatutarudi nyuma katika kusimama kutetea ukweli na haki katika taifa hili"

"Na ninawaomba washiriki wote wa kongamano hili {Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)}, kama tunataka kuliponya taifa letu kwa mtazamo wa muda mrefu, lazima tuwe na ujasiri wa kusimama na kusema ukweli, leo tunajadili hali ya demokrasia Tanzania ambayo tumedumu nayo kwa miaka 30, kweli kuna maendeleo kidogo tumefanya, lakini kama kungekuwa na dhamira za kutosha za kisiasa kwa makundi yote hasa wale wenzetu ambao wamepewa dhamana ya kuliongoza taifa, Tanzania leo tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana, hatujaweza kufaidi matunda ya demokrasia kwasababu tumelumbana kwa muda mrefu bila sababu"
 
Mbowe ameheshimu sauti ya mamlaka!
Mamlaka🤬🤬🤬🤬
20240919_080623.jpg
 
Mbowe ameheshimu sauti ya mamlaka!
Mamlaka🤬🤬🤬🤬
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) amejibu kauli ya Rais Samia kuwa 'Kifo ni Kifo tu' amesema

"Ni kweli vifo vipo vingi na watu wengi wanapoteza maisha, tunakubali, lakini maisha yote haya yanayopotea kila mmoja una thamani yake ya kipekee hasa pale mtu 'anapodakwa na vyombo vya dola', halafu anapotezwa, na ndiyo sababu tunasema kama basi tuna wasiwasi na mambo kama hayo ili tutengeneze mazingira ya kulifanya taifa letu liwe na mshikamano, tupate vyombo huru vinavyoweza kufanya uchunguzi ili yeyote miongoni mwetu asiwe ni mchezaji na refarii, ninaamini ni rai ambayo sisi tuliitoa kama chama (CHADEMA) tukijua ni nia njema tu ambayo hatutalaumiana kwa sababu anayechunguza ataweza kuyaweka mambo wazi ili wale wanaohusika katika kufanya makosa haya wachukuliwe hatua za msingi, bado tunaendelea kusubiri lakini hatutarudi nyuma katika kusimama kutetea ukweli na haki katika taifa hili"

"Na ninawaomba washiriki wote wa kongamano hili {Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)}, kama tunataka kuliponya taifa letu kwa mtazamo wa muda mrefu, lazima tuwe na ujasiri wa kusimama na kusema ukweli, leo tunajadili hali ya demokrasia Tanzania ambayo tumedumu nayo kwa miaka 30, kweli kuna maendeleo kidogo tumefanya, lakini kama kungekuwa na dhamira za kutosha za kisiasa kwa makundi yote hasa wale wenzetu ambao wamepewa dhamana ya kuliongoza taifa, Tanzania leo tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana, hatujaweza kufaidi matunda ya demokrasia kwasababu tumelumbana kwa muda mrefu bila sababu"
lakini kama kungekuwa na dhamira za kutosha za kisiasa kwa makundi yote hasa wale wenzetu ambao wamepewa dhamana ya kuliongoza taifa, Tanzania leo tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana, hatujaweza kufaidi matunda ya demokrasia kwasababu tumelumbana kwa muda mrefu bila sababu"📌🔨
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) amejibu kauli ya Rais Samia kuwa 'Kifo ni Kifo tu' amesema

"Ni kweli vifo vipo vingi na watu wengi wanapoteza maisha, tunakubali, lakini maisha yote haya yanayopotea kila mmoja una thamani yake ya kipekee hasa pale mtu 'anapodakwa na vyombo vya dola', halafu anapotezwa, na ndiyo sababu tunasema kama basi tuna wasiwasi na mambo kama hayo ili tutengeneze mazingira ya kulifanya taifa letu liwe na mshikamano, tupate vyombo huru vinavyoweza kufanya uchunguzi ili yeyote miongoni mwetu asiwe ni mchezaji na refarii, ninaamini ni rai ambayo sisi tuliitoa kama chama (CHADEMA) tukijua ni nia njema tu ambayo hatutalaumiana kwa sababu anayechunguza ataweza kuyaweka mambo wazi ili wale wanaohusika katika kufanya makosa haya wachukuliwe hatua za msingi, bado tunaendelea kusubiri lakini hatutarudi nyuma katika kusimama kutetea ukweli na haki katika taifa hili"

"Na ninawaomba washiriki wote wa kongamano hili {Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)}, kama tunataka kuliponya taifa letu kwa mtazamo wa muda mrefu, lazima tuwe na ujasiri wa kusimama na kusema ukweli, leo tunajadili hali ya demokrasia Tanzania ambayo tumedumu nayo kwa miaka 30, kweli kuna maendeleo kidogo tumefanya, lakini kama kungekuwa na dhamira za kutosha za kisiasa kwa makundi yote hasa wale wenzetu ambao wamepewa dhamana ya kuliongoza taifa, Tanzania leo tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana, hatujaweza kufaidi matunda ya demokrasia kwasababu tumelumbana kwa muda mrefu bila sababu"
nimefurahi leo chairman kanywa chai tu, amejieleza vizuri sana aise kama mtu wa maaaaana🐒
 
nimefurahi leo chairman kanywa chai tu, amejieleza vizuri sana aise kama mtu wa maaaaana🐒
Mbona kila wakati Mbowe ni muungwana hata KM wa CCM alilisema hilo. Tatizo ni upotoshaji anaofanyiwa Rais wetu ili kumgombanisha na Watanzania. Hakika naamini kuna siku atawagundua wanaomdanganya.
 
Mbona kila wakati Mbowe ni muungwana hata KM wa CCM alilisema hilo. Tatizo ni upotoshaji anaofanyiwa Rais wetu ili kumgombanisha na Watanzania. Hakika naamini kuna siku atawagundua wanaomdanganya.
wewe ndio unapotosha sasa, tena kwa upotoshaji mbaya sana ambao ni hatari pia 🐒
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) amejibu kauli ya Rais Samia kuwa 'Kifo ni Kifo tu' amesema

"Ni kweli vifo vipo vingi na watu wengi wanapoteza maisha, tunakubali, lakini maisha yote haya yanayopotea kila mmoja una thamani yake ya kipekee hasa pale mtu 'anapodakwa na vyombo vya dola', halafu anapotezwa, na ndiyo sababu tunasema kama basi tuna wasiwasi na mambo kama hayo ili tutengeneze mazingira ya kulifanya taifa letu liwe na mshikamano, tupate vyombo huru vinavyoweza kufanya uchunguzi ili yeyote miongoni mwetu asiwe ni mchezaji na refarii, ninaamini ni rai ambayo sisi tuliitoa kama chama (CHADEMA) tukijua ni nia njema tu ambayo hatutalaumiana kwa sababu anayechunguza ataweza kuyaweka mambo wazi ili wale wanaohusika katika kufanya makosa haya wachukuliwe hatua za msingi, bado tunaendelea kusubiri lakini hatutarudi nyuma katika kusimama kutetea ukweli na haki katika taifa hili"

"Na ninawaomba washiriki wote wa kongamano hili {Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)}, kama tunataka kuliponya taifa letu kwa mtazamo wa muda mrefu, lazima tuwe na ujasiri wa kusimama na kusema ukweli, leo tunajadili hali ya demokrasia Tanzania ambayo tumedumu nayo kwa miaka 30, kweli kuna maendeleo kidogo tumefanya, lakini kama kungekuwa na dhamira za kutosha za kisiasa kwa makundi yote hasa wale wenzetu ambao wamepewa dhamana ya kuliongoza taifa, Tanzania leo tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana, hatujaweza kufaidi matunda ya demokrasia kwasababu tumelumbana kwa muda mrefu bila sababu"
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Hapo mbowe nimemkubali kumbe muungwana hivi km hajapiganyagi
ACHSA MATUSI HAYAKUSAIDII KUKUZA UELEWA WAKO. UKIAMBIWA KUWA HUYU MBOWE NDIYE BABA YAKO , UNAYEMUITA BABA YAKO NI WA KUFIKIA UTAKASIRIKA? ACHA MATUSI, JIBU HOJA
 
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
Hii imekaa vizuri sana.
 
Samia anatakiwa kujibiwa na Lissu. Mbowe anaremba sana mwandiko
Mbowe ana busara Sanaa ni mtulivu SANAA.

Nimekumbuka Ile siku mkuu wa police pale jimboni kwake HAI kamanda na gwanda zake anamwambia MBOWE hato shida uchaguzi.."" unadhani utashinda uchaguzi..haushindi"" na kweli matokeo ya 2020 Jimbo la kwanza kutangazwa ni HAI.

Mbowe ni mkomavu Sana na kapevuka Sana anapenda Sana siasa za kistaarabu.
 
Mbowe ana busara Sanaa ni mtulivu SANAA.

Nimekumbuka Ile siku mkuu wa police pale jimboni kwake HAI kamanda na gwanda zake anamwambia MBOWE hato shida uchaguzi.."" unadhani utashinda uchaguzi..haushindi"" na kweli matokeo ya 2020 Jimbo la kwanza kutangazwa ni HAI.

Mbowe ni mkomavu Sana na kapevuka Sana anapenda Sana siasa za kistaarabu.
Siasa za kistaarabu kwa watekaji??
 
Chadema wanaamini kuwatumia wazungu ndio watafanikiwa jikoni kujidanganya tengenezeni sera achaneni na mafwere
 
Unapokuwa na waliopewa dhamana wanao ahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data, hao wametufikisha hapa tulipo
 
Back
Top Bottom