Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona hizi fidia ni kama zinatajwa tu kwenye mahakama lkn hazilipwi?

1. Bilioni 5 the late Membe toka kwa Musiba ....kimya.
2. Bilioni 5 za Masoud Kipanya toka kwa Mwijaku.....kimya.
3. Na sasa ni bilioni 5 za Mbowe toka kwa Msigwa.....
 
Kaingia 18 mbowe, hivi Chadema wakifunguliwa Kesi za kuwaita maneno machafu watu wa CCM Kuna ataepona?
Kuna maneno ya kisiasa ambayo yanaruhusiwa kwenye majukwaa, siyo kuwa huyu useme ni siasa1 NO!
Mbona hizi fidia ni kama zinatajwa tu kwenye mahakama lkn hazilipwi?

1. Bilioni 5 the late Membe toka kwa Musiba ....kimya.
2. Bilioni 5 za Masoud Kipanya toka kwa Mwijaku.....kimya.
3. Na sasa ni bilioni 5 za Mbowe toka kwa Msigwa.....
Ukikaza hukumu atazilipa
 
Yeye ni kiongozi wa umma kama hataki kuitwa mwizi wakati kweli chama kinapokea ruzuku lakini hata ofisi hakina achane na siasa akakoroge mbege machame
Mbona yeye anamuita Samia mwizi?
 
Kumbe spana za msigwa zimekaza

Nampongeza na aendelee kupiga spana
 
Safi sana mwamba
 
Yeye ni kiongozi wa umma kama hataki kuitwa mwizi wakati kweli chama kinapokea ruzuku lakini hata ofisi hakina achane na siasa akakoroge mbege machame
Mbona yeye anamuita Samia mwizi?
Wizi ni jinai kama ipo pelekeni mahakamani siyo mnatumia maneno ya kimalaya malaya tu kuchafua watu, Chadema inakaguliwa na CAG na hakuna mwaka ilipata hati chafu. Huyo tumbili Msigwa ameyakanyaga.
 
Hiyo kwa kinyakyusa tunaita: character assassination
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…