Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hili allegation alizozitoa against Mbowe, lazima zimkaange kisawasawa! Hii siyo siasa kuwa pesa za Join the chain aliziiba kwenye akaunti yake,. Kuna maneno ya kisiasa ambayo unaweza kuyasema kisiasa kuwa ni mbwembwe za kuijnadi, lakini siyo ya kuwa huyu ni mwizi, msherati, mfiraji halafu sijui ujitetee kuwa ni siasa za majukwaani.

Kwa kificho lakini labda lubdA 5 B ni kitu kidogo atalipa.
 
CCM wamsaidie Msigwa kumlipa Mbowe hiyo 5bn mara moja pesa wanazo.
 
Je, Tundu AM Lissu kama Mwanasheria nguli kwenye nchi hii,
Je, atakuwa tayari kuona rafiki yake kipenzi Cde Peter Msigwa akiozea jela?

Ni dhahiri Msigwa hana uwezo wa kulipa hiyo 5bln vinginevyo chama kimlipie.​
akijiingiza huko amekwisha!
 
Panapo fuka moshi pameficha moto, na hapo hakuna nyasi, yaani hao wawili ndiyo watakao uzima moto kwa maana kwasasa wameuwasha. They have started, have to finish
Hapa hapa ndipo pahala sahihi PA wana chadema wenye maulizo na madukuduku yao tutapata maelezo ambayo hapo hawali ilikuwa ngumu sana kuhoji,, wapo viongozi ndani ya chadema tena waandamizi wanashindwa kuhoji, maana kuhoji tu, na hatari sana, hili la kutokuhoji linapelekea baadhi kwa siri wanakusudia kuhama chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…