Freeman Mbowe anastahili kujengewa mnara

Freeman Mbowe anastahili kujengewa mnara

Matapu22

Member
Joined
Nov 24, 2022
Posts
18
Reaction score
27
Watanzania kwa umoja wetu inapaswa tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai tukaweza kushuhudia uongozi imara, uliotukuka na mpenda nchi, Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe ambaye amepita katika tanuru la mateso hata hivyo hivi sasa yupo mstari wa mbele kusimamia utekelezaji wa maridhiano ndani ya Chama kilicho na vijana wenye mihemko ya kulipizana visasi.

Busara na hekima za Mheshimiwa Mbowe zimetumika ipasavyo kuzima mihemko na visasi vya vijana wanasiasa ndani ya CHADEMA.

Kwa pamoja tupaze sauti Mwenyekiti Mbowe ajengewe mnara iwe ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.

Nawasilisha!!!
 
Hakika, anastahili hata zaidi ya hilo. Mzalendo hutambulika kwa matendo sio wale wanaojiita wazalendo kwa maneno ya bla bla tu!!
 
Mkuu uko sawa kweli ? Kwani hiyo mihemko na visasi ni nani aliitengeneza kwa miaka yote hiyo ndani ya chadema ?
 
Anastahili. Jana bawacha walikuwa wanapepea vibendera vyenye picha ya mwenyekiti wa ccm, nikawaza haya yangefanywa na vyama vingine kama act humu JF sijui kungekuwa na hali gani!
 
Watanzania kwa umoja wetu inapaswa tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai tukaweza kushuhudia uongozi imara, uliotukuka na mpenda nchi, Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe ambaye amepita katika tanuru la mateso hata hivyo hivi sasa yupo mstari wa mbele kusimamia utekelezaji wa maridhiano ndani ya Chama kilicho na vijana wenye mihemko ya kulipizana visasi.

Busara na hekima za Mheshimiwa Mbowe zimetumika ipasavyo kuzima mihemko na visasi vya vijana wanasiasa ndani ya CHADEMA.

Kwa pamoja tupaze sauti Mwenyekiti Mbowe ajengewe mnara iwe ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.

Nawasilisha!!!
JamiiForums1267461471_387x387.jpg
 
Sanamu lioneshe Mboe akiwa ameumia USO Kwa ulevi Huku ameshikana mikono na Joyce Mukya na majambazi wakiwazooom Kwa mbaaali!! sanamu litabalansisha na litapendeza zaidi.

Kwenye sanamu waandike,

"Huyu ndiye mwenyekiti pekee duniani wa Chama Cha siasa asiekubali kuachia ngazi"
 
Sanamu lioneshe Mboe akiwa ameumia USO Kwa ulevi Huku ameshikana mikono na Joyce Mukya na majambazi wakiwazooom Kwa mbaaali!! sanamu litabalansisha na litapendeza zaidi.

Kwenye sanamu waandike,

"Huyu ndiye mwenyekiti pekee duniani wa Chama Cha siasa asiekubali kuachia ngazi"
Kubwa jinga

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kubwa jinga

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hivi jamaa yangu nimekukosea Nini hadi unitukane Yani nimemaindi kinoma Kesho naenda kupiga ramli nijue Wewe ni nani.

Mi nimeandika zangu kuhusu Mbowe Ilitakiwa Yeye Mboe ndo aje anijibu asa mbona umemjibia? Kwamfano yeye Mboe akakaa na Joyce wakadiscuss wakapata majibu tofauti na yako itakuwaje?
 
Watanzania kwa umoja wetu inapaswa tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai tukaweza kushuhudia uongozi imara, uliotukuka na mpenda nchi, Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe ambaye amepita katika tanuru la mateso hata hivyo hivi sasa yupo mstari wa mbele kusimamia utekelezaji wa maridhiano ndani ya Chama kilicho na vijana wenye mihemko ya kulipizana visasi.

Busara na hekima za Mheshimiwa Mbowe zimetumika ipasavyo kuzima mihemko na visasi vya vijana wanasiasa ndani ya CHADEMA.

Kwa pamoja tupaze sauti Mwenyekiti Mbowe ajengewe mnara iwe ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.

Nawasilisha!!!
Sawa mimi kama mimi najitolea mifuko miwili ya cement... kuna mwengine yoyote atajitolea kitu kingine 😁😁😁
 
Sikuelewa mwanzo ila mpk jana nimeelewa anachokifanya mbowe ni kitu kikubwa sana
Nilikuwa namuona mlamba asali

Majibu ya mbowe kujifanya mjinga now(tukapappta katiba na tume) yakifanikiwa aisee atakuwa shujaa wangu milelle
 
Watanzania kwa umoja wetu inapaswa tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai tukaweza kushuhudia uongozi imara, uliotukuka na mpenda nchi, Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe ambaye amepita katika tanuru la mateso hata hivyo hivi sasa yupo mstari wa mbele kusimamia utekelezaji wa maridhiano ndani ya Chama kilicho na vijana wenye mihemko ya kulipizana visasi.

Busara na hekima za Mheshimiwa Mbowe zimetumika ipasavyo kuzima mihemko na visasi vya vijana wanasiasa ndani ya CHADEMA.

Kwa pamoja tupaze sauti Mwenyekiti Mbowe ajengewe mnara iwe ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.

Nawasilisha!!!
... apewe uenyekiti wa maisha! Mungu amjalie maisha marefu.
 
Napenda kuwapongeza Mheshimiwa Rais na Freeman Mbowe kwa hofu kubwa ya Mungu waliyonayo.

Mungu azidi kuwa tumia kuleta mabadiliko chanya kwa Watanzania.
 
Back
Top Bottom