Freeman Mbowe anaweza Kugombea tena Uenyekiti Chadema Kwenye uchaguzi wa Mapema wa 2028 Katiba inamruhusu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni kama alivyofanya Trump

Freeman Mbowe anaweza Kugombea tena Uenyekiti wa Chadema kama ataona Chama kinayumba kwa huu uongozi wa Sasa. Katiba inamruhusu

Mkutano mkuu wa Chadema umeazimia Uchaguzi mkuu ujao ufanyike mwaka 2028 Ili kukwepesha Uchaguzi kufanyika miaka ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu

Ahsanteni sana πŸ˜„
 
Too late mkuu, by muda huo age itakuwa imeshavuka. He cant come back
 
Check mnavyoangaika. Yaani ata masaa 24 hayajaisha mshaanza kuteseka.
 
Una mahaba na mwamba
 
Kalale Mkuu
Upunguze wenge la usingizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…