Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kamanada anatakiwa kuwa jasiri
---
Freeman mbowe akiomba hasira za vijana wa kenya iwafikie Watanzania
Akiwa kwenye mkutano huo wa kisaisa wa CHADEMA Mbowe amesema:
“angalia wakenya, watoto wana hasira na viongozi, kuanzia rais , makamu wa rais, mawaziri, wabunge. Kenya leo wabunge wanajificha kwa kufanya maamuzi kwenye bunge lao yanayoumiza maisha ya wananchi. Hilo jambo naliomba lije tanzania. Naliombea sana mungu vijana wa kitanzania hasira ,ujasiri, tuanze kutambua wanaosababisha umaskini tanzania ni viongozi wa serikali.”-
---
Freeman mbowe akiomba hasira za vijana wa kenya iwafikie Watanzania
Akiwa kwenye mkutano huo wa kisaisa wa CHADEMA Mbowe amesema:
“angalia wakenya, watoto wana hasira na viongozi, kuanzia rais , makamu wa rais, mawaziri, wabunge. Kenya leo wabunge wanajificha kwa kufanya maamuzi kwenye bunge lao yanayoumiza maisha ya wananchi. Hilo jambo naliomba lije tanzania. Naliombea sana mungu vijana wa kitanzania hasira ,ujasiri, tuanze kutambua wanaosababisha umaskini tanzania ni viongozi wa serikali.”-