Freeman Mbowe asema Mbunge Sanga ni ‘Chawa’

Freeman Mbowe asema Mbunge Sanga ni ‘Chawa’

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.

"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.

"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.

"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara

"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.
 
"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara
This is Mbowe.......akipiga anapiga haswaaaaaa
 
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.

"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.

"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.

"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara

"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.
Hakuna chawa kama Mbowe duniani

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.

"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.

"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.

"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara

"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.
Mbona Mbowe naye ni chawa wa Mama

Sema wanatofautiana na Sanga , kwamba Sanga ni CCM Mbowe ni Chadema ila wote ni chawa wa Mama

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.

"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.

"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.

"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara

"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.
Daaah eti chawa 🤣🤣🤣!!
 
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.

"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.

"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.

"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara

"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.
Chawa mkubwa na mdogo wanashindana
 
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.

"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.

"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.

"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara

"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.
Ni kweli Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Samia lakini wewe kama wewe Mbowe ni CHAWA wa Samia. huna tofauti na akina Balile kwa kujikomba, tuachie Chadema yetu urudi CCM
 
Back
Top Bottom