OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.
"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.
"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.
"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara
"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.
"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia, atabebwa na chama chake (CCM). Tutapambama na Chadema kitakuwa na wagombea wa urais wazuri sina wasiwasi na hilo.
"Useme tumwachia Rais Samia….kwamba kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ipo kikatiba lakini iliporwa kwa miaka saba yaani tumsifu kwa sababu hiyo?”
Mbowe alisema suala la kufutwa kwa kesi iliyokuwa ikimkabili haikuwa fadhila, bali ni wajibu.
"Mama Samia kuruhusu mikutano ya hadhara na kukubaliana na mchakato wa Katiba, huu ni wajibu wake amechelewa kuufanya hatuwezi kumpongeza kwa hilo.Sheria ya mitandao na vyombo vya habari bado changamoto kwa hiyo nchi haiendeshwi kwa hisani ya Rais kwa taasisi na mifumo imara
"Sasa viongozi kama kina Sanga ndio wapambe au tunawaita chawa, kama Rais Samia ni kiongozi imara tutamjaribu katika utumishi wake," alisema Mbowe.