Freeman Mbowe: CHADEMA is simply a lifestyle!

Freeman Mbowe: CHADEMA is simply a lifestyle!

Mwl.RCT

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
14,624
Reaction score
20,666
1697941546649.png


"Asanteni sana kupeperusha Bendera ya CHADEMA kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Hakika CHADEMA ni imani kwa wengi!! Popote tusambaze matumaini ya Tanzania ya Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo (Ustawi) kwa Watanzania wote. CHADEMA is simply a lifestyle!"
=
1697941649137.png
 
View attachment 2788732

"Asanteni sana kupeperusha Bendera ya CHADEMA kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Hakika CHADEMA ni imani kwa wengi!! Popote tusambaze matumaini ya Tanzania ya Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo (Ustawi) kwa Watanzania wote. CHADEMA is simply a lifestyle!"
=
View attachment 2788733
mmeshindwa kusambaza hiyo Imani potofu kwa mwambukusi kweli?
 
Haya mazingaombwe yataisha lini?
Ni upumbavu mkubwa kukimbilia kupeperusha bendera kileleni wakati huku batle ground mnawasaliti watanzania kwa kula sahani moja na wabadhirifu.
Ila kwa sababu chama lenu lina wafuasi "Ndondocha" ...basi hii nayo tayari ni kick ya siku!

Nasimama alipo Mwabukusi!
Tunapaaza Sauti ya Watanzania!
 
Haya mazingaombwe yataisha lini?
Ni upumbavu mkubwa kukimbilia kupeperusha bendera kileleni wakati huku batle ground mnawasaliti watanzania kwa kula sahani moja na wabadhirifu.
Ila kwa sababu chama lenu lina wafuasi "Ndondocha" ...basi hii nayo tayari ni kick ya siku!

Nasimama alipo Mwabukusi!
Tunapaaza Sauti ya Watanzania!
😀 aaahhhh kuddrrraaadrrraadrreeeek
 
View attachment 2788732

"Asanteni sana kupeperusha Bendera ya CHADEMA kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Hakika CHADEMA ni imani kwa wengi!! Popote tusambaze matumaini ya Tanzania ya Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo (Ustawi) kwa Watanzania wote. CHADEMA is simply a lifestyle!"
=
View attachment 2788733
Lema anapenda kurepost ktk page Zake za tweeter waisraeli kama kuwaunga mkono kuwaua waislam wa Palestina. Mwambieni aache anaharibia Chama chake
 
Mwamba tuvushe kila siku maigizo hakuna lolote mara utasikia operation sijui 2555 ujanja ujanja Tu
 
Haya mazingaombwe yataisha lini?
Ni upumbavu mkubwa kukimbilia kupeperusha bendera kileleni wakati huku batle ground mnawasaliti watanzania kwa kula sahani moja na wabadhirifu.
Ila kwa sababu chama lenu lina wafuasi "Ndondocha" ...basi hii nayo tayari ni kick ya siku!

Nasimama alipo Mwabukusi!
Tunapaaza Sauti ya Watanzania!


Bila chama? Ukichaa ni jambo la ajabu sana
 
Haya mazingaombwe yataisha lini?
Ni upumbavu mkubwa kukimbilia kupeperusha bendera kileleni wakati huku batle ground mnawasaliti watanzania kwa kula sahani moja na wabadhirifu.
Ila kwa sababu chama lenu lina wafuasi "Ndondocha" ...basi hii nayo tayari ni kick ya siku!

Nasimama alipo Mwabukusi!
Tunapaaza Sauti ya Watanzania!
Kwanin haendeshei harakati zake NCCR huko aliko?
 
Back
Top Bottom