mmeshindwa kusambaza hiyo Imani potofu kwa mwambukusi kweli?View attachment 2788732
"Asanteni sana kupeperusha Bendera ya CHADEMA kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Hakika CHADEMA ni imani kwa wengi!! Popote tusambaze matumaini ya Tanzania ya Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo (Ustawi) kwa Watanzania wote. CHADEMA is simply a lifestyle!"
=
View attachment 2788733
Una unri gani ?mmeshindwa kusambaza hiyo Imani potofu kwa mwambukusi kweli?
niko samabamba na chairman wa1960.Una unri gani ?
😀 aaahhhh kuddrrraaadrrraadrreeeekHaya mazingaombwe yataisha lini?
Ni upumbavu mkubwa kukimbilia kupeperusha bendera kileleni wakati huku batle ground mnawasaliti watanzania kwa kula sahani moja na wabadhirifu.
Ila kwa sababu chama lenu lina wafuasi "Ndondocha" ...basi hii nayo tayari ni kick ya siku!
Nasimama alipo Mwabukusi!
Tunapaaza Sauti ya Watanzania!
Lema anapenda kurepost ktk page Zake za tweeter waisraeli kama kuwaunga mkono kuwaua waislam wa Palestina. Mwambieni aache anaharibia Chama chakeView attachment 2788732
"Asanteni sana kupeperusha Bendera ya CHADEMA kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Hakika CHADEMA ni imani kwa wengi!! Popote tusambaze matumaini ya Tanzania ya Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo (Ustawi) kwa Watanzania wote. CHADEMA is simply a lifestyle!"
=
View attachment 2788733
Greedy and mean tafsiri yetu wachagga ni mpambanajiHivi kuna mtu bado anaamini Mbowe ni Chadema? This man is purely mean and greedy. Mhujumu mkuu wa chama
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Haya mazingaombwe yataisha lini?
Ni upumbavu mkubwa kukimbilia kupeperusha bendera kileleni wakati huku batle ground mnawasaliti watanzania kwa kula sahani moja na wabadhirifu.
Ila kwa sababu chama lenu lina wafuasi "Ndondocha" ...basi hii nayo tayari ni kick ya siku!
Nasimama alipo Mwabukusi!
Tunapaaza Sauti ya Watanzania!
Kwanin haendeshei harakati zake NCCR huko aliko?Haya mazingaombwe yataisha lini?
Ni upumbavu mkubwa kukimbilia kupeperusha bendera kileleni wakati huku batle ground mnawasaliti watanzania kwa kula sahani moja na wabadhirifu.
Ila kwa sababu chama lenu lina wafuasi "Ndondocha" ...basi hii nayo tayari ni kick ya siku!
Nasimama alipo Mwabukusi!
Tunapaaza Sauti ya Watanzania!
Nyie wachaga siyo watu wa kuaminika kbsaGreedy and mean tafsiri yetu wachagga ni mpambanaji