Mzee Mbowe amekuwa akizunguka na Chopa huku akifurumusha matusi hadi kwa marehemu. Juzi alipokuwa Arusha aliwahadaa wale vijana wa huko kuwa Rais wa awamu ya tano aliwatesa wachagga wakati wa utawala wake.
Naomba popote anapoishi asipewe huduma yoyote ile toka kwa viongozi wetu wa shina (Balozi).
Nawasilisha
Naomba popote anapoishi asipewe huduma yoyote ile toka kwa viongozi wetu wa shina (Balozi).
Nawasilisha