J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Jan 22, 2025 #1 51% vs 49% ni ushindi mwembamba sana ambao ulimfanya mchungaji Msigwa akimbilie CCM kujisalimisha Lakini Freeman Mbowe amekubali na kumpongeza mshindi Tundu Lisu Ni Ukomavu wa kisiasa Uliotukuka Mlale Unono π
51% vs 49% ni ushindi mwembamba sana ambao ulimfanya mchungaji Msigwa akimbilie CCM kujisalimisha Lakini Freeman Mbowe amekubali na kumpongeza mshindi Tundu Lisu Ni Ukomavu wa kisiasa Uliotukuka Mlale Unono π
N ndengisivilii JF-Expert Member Joined Jun 21, 2024 Posts 496 Reaction score 570 Jan 22, 2025 #2 johnthebaptist said: 51% vs 49% ni ushindi mwembamba sana ambao ulimfanya mchungaji Msigwa akimbilie CCM kujisalimisha Lakini Freeman Mbowe amekubali na kumpongeza mshindi Tundu Lisu Ni Ukomavu wa kisiasa Uliotukuka Mlale Unono π Click to expand... Wafundishe vijana kuandika mambo kwa ufupi na kueleweka kama hivi.
johnthebaptist said: 51% vs 49% ni ushindi mwembamba sana ambao ulimfanya mchungaji Msigwa akimbilie CCM kujisalimisha Lakini Freeman Mbowe amekubali na kumpongeza mshindi Tundu Lisu Ni Ukomavu wa kisiasa Uliotukuka Mlale Unono π Click to expand... Wafundishe vijana kuandika mambo kwa ufupi na kueleweka kama hivi.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Jan 22, 2025 #3 Duh aiseee
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Jan 22, 2025 #4 ndengisivilii said: Wafundishe vijana kuandika mambo kwa ufupi na kueleweka kama hivi. Click to expand... Copy aipate Lucas.
ndengisivilii said: Wafundishe vijana kuandika mambo kwa ufupi na kueleweka kama hivi. Click to expand... Copy aipate Lucas.
C Chief Mwigendya Senior Member Joined Nov 28, 2024 Posts 172 Reaction score 136 Jan 22, 2025 #5 Amesoma alama za nyakati, ila team Mbowe wametuweza kweli yaani kwenda kupiga kura bila simu ndio lilikuwa pigo la mwamba wetu .
Amesoma alama za nyakati, ila team Mbowe wametuweza kweli yaani kwenda kupiga kura bila simu ndio lilikuwa pigo la mwamba wetu .